Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Wanafiki hao,; wabunge zaidi ya 205 CCM halafuCHADEMA wabunge 35 bado useme wanaumwa? Labda kuna kuna ugonjwa mwingine.Hivi mfano huyo LOWASSA angeshinda. Je angeongozaje nchi na wabunge 60 [UKAWA]?. CCM wangemburuza tu maana wao ndiyo wangekuwa wanapinga kila kitu.Kubalini tu kuwa mamvi katokota.
Mkuu umetuonesha quantity.tupe na quality na value zao,unaweza kutumia mifano ya michango yao kwa Taifa kupitia mabunge yaliyopita
 
Wanafiki hao,; wabunge zaidi ya 205 CCM halafuCHADEMA wabunge 35 bado useme wanaumwa? Labda kuna kuna ugonjwa mwingine.Hivi mfano huyo LOWASSA angeshinda. Je angeongozaje nchi na wabunge 60 [UKAWA]?. CCM wangemburuza tu maana wao ndiyo wangekuwa wanapinga kila kitu.Kubalini tu kuwa mamvi katokota.
Mkuu kushinda na kutangazwa ni vitu viwili tofauti?Zanzibar tumefuta matokeo kwa kuwa moja ya sababu ni kura kutohesabiwa vituoni zilihamishwa,Kule kigoma kusini kura zilihesabiwa halmashauri na mwisho wa siku ccm kuipuka kidedea,chezea ccm wewe,ndo maana hata mama wa nyumbani tunaimba hapa kazi tu.
 
Uchaguzi wa 2015 hakukuwa na sera mbadala...bali kulikuwa na sura mbadala..Chadema hawakuwa na sera, to speak of.
 
Wanafiki hao,; wabunge zaidi ya 205 CCM halafuCHADEMA wabunge 35 bado useme wanaumwa? Labda kuna kuna ugonjwa mwingine.Hivi mfano huyo LOWASSA angeshinda. Je angeongozaje nchi na wabunge 60 [UKAWA]?. CCM wangemburuza tu maana wao ndiyo wangekuwa wanapinga kila kitu.Kubalini tu kuwa mamvi katokota.
Isingekuwa ni uchakachuaji Upinzani ungepata majimbo mengi zaidi.
Kwahiyo CCM haikuiba kura za Lowassa tu! Hata wagombea ubunge ambao walizubaa CCM walifanya yao.
Mfano mdogo tu, Kila sehemu aliposhinda mgombea ubunge wa upinzani lazima mtafaruku wa kutangaza mshindi ulitokea.eg Moshi Mjini, Kawe, etc
 
Mkuu umetuonesha quantity.tupe na quality na value zao,unaweza kutumia mifano ya michango yao kwa Taifa kupitia mabunge yaliyopita
Anzisha topic ya quality nitakuja kuchangia. Stick to the main topic.
 
Cdm hawakuwa na mgombea: lowasa ccm reject na duni alikuja kulinda maslahi ya cuf. Kwa nini hao wanaojifanya wanaakili hawalioni hilo?
 
Wewe ndio huna furaha,, wengine tumefurahi kuanguka kwa lowassa,,, mabadiriko yes lowassa no,, kifupi mabadiriko tuyatakayo yamemkataa lowassa,,
 
Kama furaha ya watanzania ni kutaka kukidhi matakwa yako wewe, basi hiyo imekula kwako, kwa taarifa yako wenye hekima na busara wote tumefurahi kupita unavyofikilia. You are absolutely gets lost.
 
Kama furaha ya watanzania ni kutaka kukidhi matakwa yako wewe, basi hiyo imekula kwako, kwa taarifa yako wenye hekima na busara wote tumefurahi kupita unavyofikilia. You are absolutely gets lost.



Even the grammar and phrases you failed to understand..!!

CCM wote makumazan... You are one...🐗🐗🐗
 
Wewe ndio huna furaha,, wengine tumefurahi kuanguka kwa lowassa,,, mabadiriko yes lowassa no,, kifupi mabadiriko tuyatakayo yamemkataa lowassa,,

mabadiriko ndio nini? Inaonekana ww ubongo giza?
 
Magufuli sio CHAGUO LA WATANZANIA by 90%...!! The Nation mourns...!!😨🚶🚶🙇🙇🙇🙇
 
EL nimeamini kuwa alipigiwa kura zaidi ya asilimia 62 alizoeleza kupata kwa mujibu Wa matokeo yaliyobandikwa vituoni Na nakala za mawakala wake, idadi hii kubwa iliyompigia kura za kumwamini haiwezi kuwa Na furaha kwa kupokwa ushindi
 
Andika

1: Sina FURAHA

au


2: Nina FURAHA...

Tupate picha kidogo tu...!!! Maana mitaani, watu wamenunaa nunaa tu..!!
 
Sina raha kabisa ,kila saa nalia kumkosa Lowassa kanifanya niichukie siasa
 
Sina furaha. Nilitegemea Lowassa atuagize tudai haki yetu kivingine lakini yuko kimya.
 
uwe!! usiwe!!! hayo ni machozi ya samaki tunasongambele na Dr Magufuri
 
Back
Top Bottom