Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,535
- 20,730
Na ufa usiozibika.
Na hauta zibika kamwe..kama hali ndio hii.. ooh noo..!!
Na ufa usiozibika.
Binadamu huwezi furahisha wote, happiness is a choice of an individual, if you forfeit it, it reciprocates!Umesema ukweli mkuu. Magufuli anapaswa afanye kazi kwa bidii arudishe furaha zetu. Anayo nafasi ya kupendwa hata na sisi tulikuwa washabiki wa mabadiliko kama kweli ataleta mabadiliko maana wengi tunaamini tatizo la nchi hii sio kiongozi bora.. Tatizo ni CCM. magufuli anayo nafasi ya kutufanya tujione kuwa tuliaminishwa vibaya. Otherwise hii itakuwa safari ya mwisho ya CCM.
Ok... naanza kuelewa.. kwa HIYO WATU WENGIII wamenunaa sbb ya MAGUFULI KUTEULIWA..??
Basi hakuwa CHAGUO LA WENGI...!!
Ngoja tusali kwa KUFUNGA... majibu yatakuja tu..!!! Ni Novena sasa..!! Kama kuna HAKI YA WATU IMEPORWA... MUNGU ATAJIBU..!! HARAKA..!!
In Jesus name..!!
Asanteee!Wakaskazini na wasio wakatoliki lazima wazomewe
duu kumbe nchi nayo hua inafuraha na kuchukia
kama huna furaha kale marimao maidhs yataendelea kama kawaidaHabari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
Jamaa huyo hatukumchagua, amechaguliwa na Mr Dhaifu, na Lord Lofa! Sijui ataongozaje mtu wa namna hii, ambaye "ushindi" wake, umepokewa kama msiba mkubwa wa Kitaifa! SHAME!!!!!!!!
Ushindi wa bao la mkono nao ni wa kushangilia?? Magufuli mwenyewe hana furaha....
Asa bobu umemnunia nani?
Mtoa mada uko sawa kabisa hali imekuwa mbaya..hata biashara ya magazeti imedoda kabisa , Tv wakiweka tu habari za CCM watu wanazima..redio wakiongea tu habari za ccm watu wanabadilisha chanel...kwenye mabar ndiyo usiseme watu wanamaumivu makali hawataki hata kusikia hizo habari!!!
Hii imeniacha hoi kweli, walioshinda wanaona aibu kushangilia, walioshindwa hawana raha kabisa. Yaani inakuwa kama mwanamke kalazimishwa na wazazi kuolewa na mwanaume asiyempenda. Inanikumbusha wimbo wa marijani siku ya harusi bwana anacheka mke uso umekunjana. Boooonge la sooo kulazimishwa kupendwa na wananchi wakati uwezo wa kuleta maendeleo ni zero.
Wakaskazini na wasio wakatoliki lazima wazomewe