titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,565
- 9,809
Kama ile nguvu na rafu zote zilizotumiwa na mabepari wa hii nchi kwenye uchaguzi zingetumika katika kuleta maendeleo basi ndani ya miaka kumi tu Tanzania ingekuwa mbali sana kiuchumi,lakini waapi hilo haliwezi kutokea.mkiwa na maendeleo na elimu mtawapa watawala wakati mgumu kwahyo inabidi tu muendelee kuwa makapuku.hivi kuna mtu yoyote mwenye akili tu ya kawaida anayeweza kuamini kama uchaguzi huu ulikuwa huru na wa haki?.