Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Sababu ya unafiki wao sasa wanajutia maamuzi yao WAKUKURUPUKA mnalalamika Nchi kupewa watu walewale uko sawa, Na cc pia tulitafakari kama nyie tukaona kuliko kumpa mtu yuleyule mliokuwa mkituaminisha ni.......no 1 tukaamua kumpa JPM NI SALAMA KWETU, ANZENI PLAN C MCHAFUENI NA YEYE labda mtapata furaha
 
Thread za jinsi hii zinaunganishwa kishenzi, hii itakuwa mods hawajaiona..........au niwaite??
 
Walio wengi wanafikiria jinsi gani watalipa kodi katika biashara zao mana kioindi cha ujanjaujanja kimekwisha
 
ukokwetu ndobalaa wazee wanalia wamama vijana mbaya zaid walivyo sikia kauli mbaya za viongozi daa nishida
 
Habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
...ni kweli taifa ni kama lina msiba mzito.....nimeona kazini kimya kabisa....yani doro la ajabu kama kuna msiba mzito vile...najiuliza kulikoni....naona kila mtu anaumia na kusema kilichojiri uchaguzi wa rais sicho....mtu wa watu wengi hakupitishwa na NEC ya ccm...na madhara yake yanaonekana kwenye nyuso za wengi....huko makazini na mitaani....Hakika magufuli ana kibarua kizito kunyanyua morale ya umma mpana....watu wamechoka kiama....mbele ni giza totoro kwa wengi...lakini kwa wachache wana ccm ni vicheko na nderemo....jambo linaloumiza umma mpana...maana wengi wanajua rais wao kaonewa...Itachukua mda hii mpaka kije kieleweke....Miaka mingine 5 ni mingi sana kwa namna hii...TZ imepoteza fursa kubwa ya mageuzi....
 
Naona mlivyomimina nafsi zenu hapa kwa kutoa ya mioyoni mwenu, mungu awape amani.
 
Demokrasia ni mfumo wa utawala katika nchi ambapo watu wanahusika katika kufanya maamuzi kwa kuchagua Viongozi ambao watawawakilisha katika chombo cha kufanya maamuzi ama kutunga sheria za nchi.Demokrasia ina sehemu nne;
1. Mfumo wa Kisiasa unaowezesha kuchagua na kubadili Viongozi wa Nchi
2. Ushiriki wa watu kama raia katika Siasa na Maisha ya kawaida
3. Kulinda haki za binadamu kwa kila raia
4. Utawala wa Sheria ambapo sheria hufuatwa na kila mmoja.
Yafuatayo ni mambo yanayoweza kuvuruga kabisa demokrasia na kuhatarisha hali ya amani ya nchi;
v Utawala wa mtu mmoja ama Kikundi cha watu - Fisiemu
v Kushika madaraka kwa nguvu - Bao la Mkono
v Utawala wa matakwa ya mtu mmoja - Vasco Da Gama
v Utawala usio na uwazi - Wachache huamua
v Utawala usiowajibika kwa wananchi - Unawajibika kwa Kikundi
v Utawala unaotegemea Jeshi badala ya watu - JWT,Police,FFU
v Matumizi ya Mabavu na fujo - Vitisho
v Kiongozi ana amua badala ya watu - Vasco Da Gama
v Maamuzi ya Kitaifa yanaingiliana na Maamuzi ya Serikali
v Mabadiliko ya Utawala hufanywa kwa nguvu na demokrasia kufunikwa
v Maamuzi ya Vyombo vya Umma vipo mikononi mwa Kiongozi ? NEC,JESHI,ZEC,
v Vyombo vya habari unaratibiwa na Chama ama Kiongozi ama Kikundi cha Watu.
Je unadhani TANZANIA tunayoipenda kuna DEMOKRASIA?

 
Habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.

Ahahahaha! Huu uzi ni special kwa ajili ya wana ukawa kufarijiana,... Dedication : mbele kwa mbele by TOT.
 
Ahahahaha! Huu uzi ni special kwa ajili ya wana ukawa kufarijiana,... Dedication : mbele kwa mbele by TOT.

Hahahahaha ati dedication ya TOT, Sijui kampeni za CCM zingekuwaje Marehemu Komba angelikuwepo
 
Habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.

Huo ndio ukweli kila mtu ana huzuni kama ilivyokuwa siku ya ajali ya MV Bukoba!
 
The president Kagame of Rwanda says"Today may be the day that the president is sworn in,forcefully and in a draconian way;even when the majority voters disagree.Today CCM has decided to show the world that there is no democracy in Tanzania but a dictatorship government of CCM.T he president who will be sworn in will be a choice of CCM and not the majority voters.The president who will struggle to lead because he knows he was not peoples' choice but a shadow of previous presidents who have taken the control of election and force in power".
 
Nchi iko kwenye matatizo tunafurahi nini? Kila mtu aendelee na majukumu yake, subirini mechi ya simba na yanga mkafurahie uko.

ni bora ukanyamaza kama huelewi kinachoendelea mioyoni mwa walio wengi
 
Ahahahaha! Huu uzi ni special kwa ajili ya wana ukawa kufarijiana,... Dedication : mbele kwa mbele by TOT.

acha tufarijiane hakika huzuni yetu hii haitapotea bure mungu atakwenda kutenda jambo kubwa sana na dunia itabaki ikiduwaa
 
niko moshi.mji hauna uchangamfu wwake. vijana wanazomea waliovaa ccm nakuwaita waiziii. Mungu rudisha furaha ya watanzania
 
Furaha itatoka wapi wakati MOSHI MWEUPE HATUJAUONA.
 
Back
Top Bottom