Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Mim mpaka naumwa jamani sina raha Nina timepokonywa wenje kafurila raid Edo
 
Jiji la dar limepoa kweli,hamna mwenye time na magufuli,hii ishara mbaya sana kwa mteule wa ccm,
 
Dr Slaa hajawah **** my favorite never. Cna chama mm ni mfuasi wa mtu 2005 nilkua kwa kikwete, 2010 no option ckuvote. 2015 lowassa.

Mkuu kuna neno umeandika kwa makosa Jaribu kusoma tena.
 
Ni kweli kabisa, hata sehemu yangu kazini ni kama wanaomboleza hawana Furaha na wana majibu mabaya na wekata tamaa
 
Nimepanda uda kutoka kariakoo,yani kwenye basi watu wote kimya,kariakoo yote kimya,tupo milioni 50 alafu watu milioni 8 ndo watuamulie wakutuongoza?tumerogwa na nani sisi jamani
 
Acheni unafiki wazalendo tunaendelea na kazi; uchaguzi umefanyika hongereni madiwani, wabunge na rais mteule nenendeni mkawatumikie watanzania.
 
Kkoo kila mtu kimyaaaa,hata wanaopiga debe za biashara nao kimyaa kabisaaa,kwa kweli ukiacha kuchakachua matokeo,wananchi hawataki kabisa kuisikia ccm.
 
Acheni kuleta propaganda zenu hapa za kijinga, wengi waliomchagua Dk Magufuli wanafuraha, ninyi watu wa Dar, Arusha, Mbeya na Moshi mjini ndio hamna furaha. Mikoa mingine mingi iliyobakia watu wanafuraha sana nikiwemo mimi na wengine wengi. Dar sio Tanzania nzima, Dar sehemu tu ya Tanzania. Kama hamna furaha, basi kunyweni sumu ama chukueni kamba mkajinyonge. Wapumbavu wakubwa ninyi. Tumemchagua Magufuli na sasa ni kazi tu.

Dar sio Tanzania nzima ila ukwel. unabakia Ukitaka kuua Tanzania ua Dar,ndomana asilimia kubwa ya ofisi za wizara za Tanzania zipo Dar,Ikulu yenu dar,Siri ni dar..Mkatae mkubali Tanzania Hatuna furaha isipokuwa pale Lumumba na wengi wetu tunahuzunika kwa Nchi yetu inapolekea..
 
Hahaaa msiba wa wapumbavu na malofa...mtanyooka tu


Mavi-punda....!! It seems umezaliwa kwa njia ya 0713...!!

Pumbavuu wee..😨😨😨

Watu 80% hawana FURAHA KABISAA KABISAAA...!!! Wee pumbavu..🐙🐙
 
Aibuuu tupu sana...!! Watu wamekata tamaaa kabisaaa.... sasa mkale Lumumba..!!!
 
Habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.
Hata mimi sina furaha na ushindi wa JPM but lets move on ...
 
Kuna dude la CCM limekuja linaniuliza eti vipi , nikamwambie naomba usinitafitie kesi, nitakufumua nikafie jela.

Alafu nisikie pumbavu lolote linakuja kuomba pesa ya kununua mbegu za shamba eti nitakupa mazao yakikomaa, pumbavu, nenda kapige push up Lumumba upate pesa.
Mkuu hata mimi roho imeniuma sana bt post yako imenifanya walau nicheke Mungu
 
Back
Top Bottom