FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,417
Mwenyewe nilitegemea watu watakuwa na Ndelemo lakini imegeuka kinyume
Mmewasaliti majembe kina Slaa mkategemea mtapewa nchi kwa dizaini hiyo,na pale ndipo mlipopoteza mvuto majinga kabisa! Ndipo mlipopoteza hizo raia mil 2.8 na usheee
Umeongea kishabiki sana bila kutafakari, hivi huyo unayesema yeye ni hapa kazi tu anaweza kufanikiwa bila ushiriki wa wananchi anaowaongoza?Nipo Mikocheni saiv ni shangwe la hatari, jioni Kino ilikuwa amsha popo.. Ukawa ndio wapo kwenye majonzi maeneo ya kimara kina manka wanalia toka asubuhi.
Uzuri rais tuliyempata hana aja na kuuza sura yeye ni kazi tu. Mnune mpasuke Magu ndo president.
Kura hazipigwi kwenye social medias.
Na Mungu aketiye mahali pa juu palipo inuka awape upofu wa macho, kansa ya damu, wazibe njia ya mikojo, wazibwe masikio, wanyong'onyee na walegee kabisa. Wataongoza nchi hii wakiwa hawana amani. Toka lini mtu akawa na amani na kitu alichokiiba? Walaaniwe saba mara sabini!Mimi ninasema nanitasema..Alaaniwe JANUARY MAKAMBA KWA KIPIMO ALICHOPIMIA WATANZANIA JAMII YANGU...January ulaaniwe na kwa kipimo hichohicho tena chakusukwa sukwa ndicho utakachopokea siku za usoni....January ulaaniwe kwa uratibu ulioufanya kwenye sekta ya mawasiliano mpka mkafanikiwa kukwapua haki za wavuja jasho...km Mungu aishivyo,haki haitapotea,KAMA KURA ZOTE MLIPATA KIHALALI BASI NA IWE BARAKA KWENU KM MTAJI WAKUBARIKIWA KTK MWANZO WENU...LKN KM MLIPATA USHINDI KWA HILA YEYOTE JANUARY MAKAMBA NAWENZAKO NASEMA KURA ZETU NAZIWE LAANA JUU YENU NA ipatilizwe kizazi chenu chote..
Ni kweli kabisa nchi imejaa huzuni kuu. Hata wachache wanaoshangilia wanafika mahali wanaona aibu inabidi waache. Kama hakuna haki huwa hakuna amani. Kumbuka utulivu si amani
Kweli mpaka maofisini tena ofisi nzito furaha zilianza kutoweka tangu Matokeo ya wizi yakijumlishwa. Ni majonzi.
Tanzania imetajwa kuwa ni miongoni mwa nchi zinazoongoza kwa wananchi wake kutokuwa na furaha kabisa. Sasa ndio wameongezewa huzuni kuu. Kweli inakatisha tamaa na wakati mwingine ni bora kusiwepo uchaguzi mkuu kwani pesa inapotea bure wakati watawala wanajua nani atakuwa mtawala. Nahisi uchaguzi ujao wengi hawatapiga kura na mimi nikiwa mmoja wapo. Kuna haja gani ya kwenda kupiga kura ambayo itachezewa? Mimi mpaka leo nahangaika kusafisha wino kwenye kidole changu ingawa wakati wa kupiga kura nilipiga kwa furaha na matumaini makubwa. Furaha yangu imegeuka kuwa huzuni na msiba mkuu. Kama ingekuwa huru na haki hakuna neno. Lakini kwa kila jambo kuna malipo yake. Wasubiri malipo ya vilio vya watanzania wengi.Habari wadau.
Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.
Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.
Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.
Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.