Renegade
Platinum Member
- Mar 18, 2009
- 7,777
- 8,177
Huu ni ukweli usio pingika. Watanzania wana sononeka sana kama walivyo sononeka kipindi cha Kifo cha Mwalimu Nyerere. Huwezi kuamini kuna Baadhi ya watu wamesema ni bora wakachoma vitambulisho vyao vya kupiga kura kwani hawajaona faida yoyote waliyo ipata baada ya kupoteza muda na mali zao wakijua wana kwenda kumchagua mtu wampendaye. Hii ni LAANA na Tusifanye Mchezo watanzania yatatukuta mambo makubwa sana. Manunguniko na kukata tamaa kwa watanzania Mungu atakuja kutenda miujiza yake.
Pole sana.