Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

Nchi haina furaha kabisa, kwa maoni yangu

watu milion 8 meno nj...wewe ukawa subiri 2030!!

eti nchi haina furaha wakti mm hpa nimechinja beberu!!
 
Wahuni, wajinga, wezi na mamluki ndio hawana furaha. Ila pia nao ni wengi Tanzania
 
Acheni kujifariji. Magufuli hahitaji tabasamu wala kelele za mtu. Anasema yeye ni kazi tu. Wengi hawana furaha kwa sababu walidanganyika na nyomi. Wakasahau nyomi sio kura. Sasa rais keshapatikana wala hahitaji tabasamu lako. Anataka ufanye kazi tu.

Trying to fool yourself
 
Rais apatikane kwa chaguo la watu ndio anatia hamasa, sio huyu wa wizi wa kura za wananchi. kupatikana kwa kulazimisha lol... Hata waliokua wanashabikia CCM wengi wamenywea, umebaki wewe tu na wachache wengine wenye akili kama yako. Raha ya urais ni upendwe na wananchi wako, hasa kwa nchi yenye amani kama Tanzania. Hatukustahili kupiga kura kwa bunduki pembeni kama safari hii. watu wamekua affected sana. unapiga kura huku magari ya jeshi yamewazunguka utadhani tuko vitani. Jamani... eeh...mungu, naomba sikia kilio cha waja wako utupe muafaka.
Acheni kujifariji. Magufuli hahitaji tabasamu wala kelele za mtu. Anasema yeye ni kazi tu. Wengi hawana furaha kwa sababu walidanganyika na nyomi. Wakasahau nyomi sio kura. Sasa rais keshapatikana wala hahitaji tabasamu lako. Anataka ufanye kazi tu.
 
Mimi ninasema nanitasema..Alaaniwe JANUARY MAKAMBA KWA KIPIMO ALICHOPIMIA WATANZANIA JAMII YANGU...January ulaaniwe na kwa kipimo hichohicho tena chakusukwa sukwa ndicho utakachopokea siku za usoni....January ulaaniwe kwa uratibu ulioufanya kwenye sekta ya mawasiliano mpka mkafanikiwa kukwapua haki za wavuja jasho...km Mungu aishivyo,haki haitapotea,KAMA KURA ZOTE MLIPATA KIHALALI BASI NA IWE BARAKA KWENU KM MTAJI WAKUBARIKIWA KTK MWANZO WENU...LKN KM MLIPATA USHINDI KWA HILA YEYOTE JANUARY MAKAMBA NAWENZAKO NASEMA KURA ZETU NAZIWE LAANA JUU YENU NA ipatilizwe kizazi chenu chote..

Bora wewe unalaani,mi nataman wafe kabisa.Haka kajamaa nakachukia sana...kazee ka mipasho utadhani kanaongoza kipindi cha muziki wa mwambao.kuna na vile vingne darasa LA saba wa mtera,nepi,chamber cha taka toka ramba ramba
 
Mmewasaliti majembe kina Slaa mkategemea mtapewa nchi kwa dizaini hiyo,na pale ndipo mlipopoteza mvuto majinga kabisa! Ndipo mlipopoteza hizo raia mil 2.8 na usheee
 
habari wadau.

Naona watu wote wanaonizunguka hawana furaha kabisa ni kama watu waliokata tamaa.

Nikiangalia status za watu social network, ofisini, kwenye dala dala.. Na hata mtaani kwangu watu wapo kimyaaa wana huzuni tele.

Hii ni changamoto kubwa sana kwa magufuli kufanya kazi kwa bidii kurudisha furaha kwa mamilion ya watanzania.

Kiukweli leo ni kama kuna msiba wa taifa.

somo la kujiandaa kisaikolojia haliku wa ingia hao.
 
I've been on a mission, haven't left the changes
This that JPM, that CCM, this that new Tanzania!
 
acheni kushabikia kitu ambacho hakipo katika nafsi yako. jipange vema kwa kazi zako hapo raha ndo itakuja we katika pocket yako no mia halafu unataka ufurahi na nini? tuache uongo pengine hukupiga hata kura cha ajabu unajisikia vibaya.. kwa lipi?
si kweli wote tumepiga kura ila Mungu ndie anayejua Wakina Makamba walichokifanya
 
Mwenye furaha ni yule mwenye roho ya asi anayependa kudhulumu yuko upande wa shetanin na ni baba wa uongo Ibilisi.
 
si kweli wote tumepiga kura ila Mungu ndie anayejua Wakina Makamba walichokifanya
Makamba ndiye dhalimu wa kwanza pamoja na wenzake Laana iwe juu yake, Wametumia Masunduku ya Kura feki na Kuingila mtandao ili wabadili Alama za Lwassa na kumpa magufuli.
 
Back
Top Bottom