Nchi 10 zinazoongoza kwa ubaguzi duniani

Nchi 10 zinazoongoza kwa ubaguzi duniani

Babalao kwa UBAGUZI !!
images

Mchana kweupee peee..ilisomeka hivi.. " Machotara "
Last emperor vipi hapo !!
Kabla ya kukagua vilivyomo kwenye macho ya wengine tutoe kwanza boriti kwenye macho yetu. Tanzania kuna ubaguzi wa kiitikadi za walionacho dhidi ya wasionacho, udini, ukabila, wale UKAWA sisi CCM.
 
Kuna wamerekani weusi,walizaliwa huko.Mbona hatuoni waarabu po wengibia waweusi kule kwao uarabuni wakati nao walijihusha vizuri na biashara ya watumwa?
waarabu weusi saud Arabia/oman wapo, unamkumbuka goalkeeper wa Bolton wanderes kama sijakosea
 
Back
Top Bottom