Nchi 10 zinazoongoza kwa ubaguzi duniani

Nchi 10 zinazoongoza kwa ubaguzi duniani

Mtoa mada hayupo realistic kuna nchi zingine kaongelea ubaguzi wa kiistoria kimsingi baadhi ya nchi mambo mengi yameishabadirika
 
Ubaguzi sio lazima uwe wa rangi. Kuna hata wa dini, kipato na ukabila.
Umesahau south Africa dhidi ya wageni, Zimbabwe dhidi ya wazungu, Burundi wahutu/Watusi, Zanzibar Cuf Na CCM, Tanganyika Ukawa na CCM.
 
ajikite kwenye mada bana. Muambie ni Persians tena hao ndio wabaguz sana kwa waarab. Wanawabagua waarab kuwa ni uncivilised low IQ
Achana nae mkuu hana ajualo anawaza ujinga tu! Sasa akitumia neno baya au lugha mbaya ndio itamsaidia kukuza uelewa wake? Hana habari kua huyo Iran na Saudia ni kama Chui na Paka.
 
Kulikua na umuhimu gani wa kuingiza mambo ya dini? Hapa tunaongelea ubaguzi,sio kila kitu lazima uingize udini acha mwazo mgando wewe,kwani ungesema tu IRAN isingetosha??
Tatzo lako viroba unafanya chakula acha hiyo itakugharimu huo udini umeuleta wewe

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna watu wabaguzi duniani kama WAHINDI. Wengine wanafuatia tu lakini Indians are the most racists people on planet earth.
 
Tatzo lako viroba unafanya chakula acha hiyo itakugharimu huo udini umeuleta wewe

Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Tulia wewe, huna cha kuchangia pita kimya tu sio kutuingizia udini hapa, kuna mtu alikuuliza kua Iran ni nchi ya Kiislamu au ni Kiherehere chako tuu? Jikite kwenye mada ya Ubaguzi, hivyo vimaneno vya kitoto eti sijui viroba wapelekee watoto wenzio huko kwenye vijiwe vyenu vya Kahawa.
 
Tulia wewe, huna cha kuchangia pita kimya tu sio kutuingizia udini hapa, kuna mtu alikuuliza kua Iran ni nchi ya Kiislamu au ni Kiherehere chako tuu? Jikite kwenye mada ya Ubaguzi, hivyo vimaneno vya kitoto eti sijui viroba wapelekee watoto wenzio huko kwenye vijiwe vyenu vya Kahawa.
Mbona unatokwa povu kiasi hicho??mimi sijaleta udini na sina udini kama usingizi umekuzidia ukalale viroba bila kula ni shida sana
 
Tulia wewe, huna cha kuchangia pita kimya tu sio kutuingizia udini hapa, kuna mtu alikuuliza kua Iran ni nchi ya Kiislamu au ni Kiherehere chako tuu? Jikite kwenye mada ya Ubaguzi, hivyo vimaneno vya kitoto eti sijui viroba wapelekee watoto wenzio huko kwenye vijiwe vyenu vya Kahawa.
Kwa kukusaidia nenda kasome page ya 4 bandiwe aliuliza hilo swali kwa mtindo wa kubisha kuwa hakuna nchi ya kiislamu
 
Harafu kutwa mko misikitini na makanisani mkiomba kupitia mtume mzungu (Yesu) na mtume wa kiarabu (Muhammad). Ujinga uliovuka mipaka
 
Kwa ubaguzi huu ndio maana waliotembea dunia yote wakasema

EAST OR WEST HOME IS THE BEST

Wengine wakasema

HOME SWEET HOME

Juma nature akamalizia

NYUMBANI NI NYUMBANI HATA KAMA NI KICHAKANI
Kwetu ugali maharage ni bora kuliko nyama, anayopikaga mama mi ndo nayapenda sanaa
 
Kuna point sikubaliani na wewe,sio wazungu wote wana badilika rangi wakiwa kwenye jua na sio watu weusi wote wana kuwa 'light skinned' kwenye baridi.Inategemea na mtu na mtu.
Ushakaa na watu wa west africa kama senegal,gambia etc jamaa hawabadiliki rangi hata wazaliwe kwenye baridi vizazi na vizazi kwa ujumla africa yote.
Reference: Akon
 
South Africa haipo duh. Wakati juzi hapa ilikuwa inafukuza wageni live
 
Umenikumbusha mijitu ya bara na mitwana ya bara inavobaguliwa na waungwana wa visiwani
 
Ubaguzi upo kila mahali mkuu, nitakupa miafano michache:
1. Hospitalini wagonjwa mahututi wanabaguliwa kwa kuwekwa katika chumba chao maalumu kinachoitwa I.C.U. Pia wagonjwa wa kifua kikuu wanabaguliwa kwa kulazwa katika wodi yao pekeyao. Hapo sijamaliza na akina mama waliojifungua.

2.Jeshini kuna ubaguzi wa vyeo hivyo maofisa wana mess (Sehemu ya kulia chakula) yao pekeyao na hivyo kuwatenga wasio maofisa.

3.Nyumbani kwenu / kwako mgeni akikutembelea na kuisha hapo hata kwa mwaka mmoja hawezi kupata haki zote sawa na wewe au wanafamilia wengine aliowakuta hapo hivyo kuna vitu fulani ataruhusiwa kufanya lakini vingine atakatazwa kwa kuwa ni mgeni tu.

4.Kwenye vyoo vya umma kuna vya wanawake pekee na vya wanaume pekee, huu pia ni ubaguzi.

5.NK
Hii kali mwisho utasema unga wa ngano unatengwa na unga wa mahindi na maharage hayawekwi gunia moja na mchele...
 
1. Argentina.
Marekali unawaonea kuwaweka number moja, maana pamoja kuwapo Kkk na vikundi vingine stil backs wapo wapo USA.

Ila argentina waliwawiza watu weusi na kuwauwa wote. Leo hii argetina hauna hata mbwa mweusi.
 
Back
Top Bottom