Ni habari nzuri lakini jee hii itatumika kwa islamic accounts pia?.Naomba niulizie huko ofisini kwenu.Wale ambao card zao za NBC zilishachoka wana advantage zaidi, kwani NBC Visa + MasterCard sasa zinatolewa bure bila malipo. Changamkieni muwe na uwezo wa kuchukua pesa kwenye ATM za mabenki tofauti (ila kwa gharama zaidi kila muamala) ila walau itawasaidia wale wanaokuwa na shida ya fedha huku ATM za benki yao ikiwa haifanyi kazi. Lakini ndo hivyo, kama watu mlizoea kutofautisha ATM Card zenu kwa kuangalia picha, kwa sasa mtalazimika mkariri namba za card, kwani hakuna picha, vinginevyo unaweza ukajikuta umebeba kadi ya mkeo au mumeo, unafika kwenye ATM unashangaa umekosea password ! Sana sana signature ndio itasaidia kutofautisha, ila nayo ipo upande wa nyuma! Na wale mnaosafiri nje ya nchi sasa mna nafasi zaidi ya uhakika wa kuchukua fedha mkiwa huko. KAZI KWENU !!
Mimi nimechukua kwenye branch niliyofungulia account ya mwanzo, ila walianza kujitangaza tangu wiki iliyopita na walisema itakuwa unabadili card yako katika branch yoyote ya NBC ndani ya nusu saa. Mimi nilisubiri masaa mawili, ila sio mbaya sana labda kwa kuwa tulikuwa wengi. So kama tangazo lao still holds true, unaweza kuchukua tawi lolote.Je umejaribu kuwauliza ni lazima mtu aende mkoani alikofungulia account au anaweza kuchukua head office Dar, badala ya kutumia pesa kusafiri?
Kuna jamaa yangu kachukua ana wiki sasa hawezi toa ela inamwambia error 25
Naona itakuwa kwenye probation![/QUOTE]
Mkuu labda hiyo yake tu, mimi nimechukua tangu september na inapiga kazi fresh tu. Ni debit card, nishaitumia kwenye ATM za stanbic na exim.
Ni debit au credit cards?
CRDB nimewauliza nao wanadai wanatoa tu Debit Card, sasa kaka hebu vunjavunja, huo unafuu ni upi?Mkuu ni mi-Debt card hiyo hata haisaidii sana bora za CRDB na Exim Bank
Wale ambao card zao za NBC zilishachoka wana advantage zaidi, kwani NBC Visa + MasterCard sasa zinatolewa bure bila malipo. Changamkieni muwe na uwezo wa kuchukua pesa kwenye ATM za mabenki tofauti (ila kwa gharama zaidi kila muamala) ila walau itawasaidia wale wanaokuwa na shida ya fedha huku ATM za benki yao ikiwa haifanyi kazi. Lakini ndo hivyo, kama watu mlizoea kutofautisha ATM Card zenu kwa kuangalia picha, kwa sasa mtalazimika mkariri namba za card, kwani hakuna picha, vinginevyo unaweza ukajikuta umebeba kadi ya mkeo au mumeo, unafika kwenye ATM unashangaa umekosea password ! Sana sana signature ndio itasaidia kutofautisha, ila nayo ipo upande wa nyuma! Na wale mnaosafiri nje ya nchi sasa mna nafasi zaidi ya uhakika wa kuchukua fedha mkiwa huko.
Kutokana na udini wenu hakuna aliyenijibu.Nimekwenda mwenyewe kaunta kuuliza wanasema islamic accounts wanapewa visa card tu.Ikiwa ni hivyo nasubiri kama mwaka hivi nione kama crdb wataanzisha islamic banking wakishindwa nafunga akaunti kwani nilichofuata kwao sasa napata NBC.Ni habari nzuri lakini jee hii itatumika kwa islamic accounts pia?.Naomba niulizie huko ofisini kwenu.
Mawazo yako kipesa pesa tu, ndio maana ukanunuliwa na kubadili dini.Umekosa radhi za wazee wako na umebaki na jina tu.This Ami guy is a paranoid joker..
Hivi ni wapi mleta Uzi kasema anawakilisha NBC?
Unauliza swali unademand ujibiwe KWANI WEE NI NANI?kuna mtu unamlipa ajibu maswali yako?
Mdini mkubwa wee, nenda ukajiunge na al Shabaab, huko hapanshaka kuna watu wene uoni finyu kaa wako.
Huezi Kudemand ujibiwe..kila mtu anaingia JF kutokana na nafasi yake. Mwenyewe nasumbuliwa na mguu nimeanzisha uzi kusubiria mawaidha lakini siezi kudemand nijibiwe instantly, inabidi kuwa na subra.Wewe kaa unataka ujibiwe instantly nenda kwa wahusika na wasemaji wa benki. Unaposema hujajibiwa kwa sababu ya Islamic acc unadhihirisha upeo wako duni na uezo hafifu wa fikra. Vitendo vya watu kaa wewe ndio vinazidi kuwapaka wasilamu image ya malalamiko yasiyo na msingi. Actually nlikua staki kuandika kwa kirefu hivi, Lakini umenkera sana na cheap idiotic accusations zisizo na kichwa wala miguu. Badilika!Mawazo yako kipesa pesa tu, ndio maana ukanunuliwa na kubadili dini.Umekosa radhi za wazee wako na umebaki na jina tu.
Kwani mleta uzi alikwambia anataka pesa kama wewe ili ajibu,hata uzi wenyewe nao hakuuanzisha kwa kulipwa.Kama aliona akashindwa kunijibu ni kwa udini wake tu kwa vile nimeulizia islamic account.
Mkuu mimi ni mteja tu wa NBC, sio CEO. Sielewi kama ni mandatory kuchukua kadi mpya, ila nitarudi kulisoma tangazo lao lile la kuuarifu umma.CEO Sinkala na wengineo mnaojua, kwani ni mandatory kuchukua kadi mpya? Nataka kujua maana wengine tupo mbali kidogo. Tukijuzwa tutakua ktk nafasi ya kupanga na kuchagua.
Mkurugenzi that was a joke..ok tujuzane utapokuwa na jipya.Mkuu mimi ni mteja tu wa NBC, sio CEO. Sielewi kama ni mandatory kuchukua kadi mpya, ila nitarudi kulisoma tangazo lao lile la kuuarifu umma.
Na hapa na wewe ulitaka nini?.Mbona huelewi unalosema.Huezi Kudemand ujibiwe..kila mtu anaingia JF kutokana na nafasi yake. Mwenyewe nasumbuliwa na mguu nimeanzisha uzi kusubiria mawaidha lakini siezi kudemand nijibiwe instantly, inabidi kuwa na subra.Wewe kaa unataka ujibiwe instantly nenda kwa wahusika na wasemaji wa benki. Unaposema hujajibiwa kwa sababu ya Islamic acc unadhihirisha upeo wako duni na uezo hafifu wa fikra. Vitendo vya watu kaa wewe ndio vinazidi kuwapaka wasilamu image ya malalamiko yasiyo na msingi. Actually nlikua staki kuandika kwa kirefu hivi, Lakini umenkera sana na cheap idiotic accusations zisizo na kichwa wala miguu. Badilika!
By Abdulhalim CEO Sinkala na wengineo mnaojua, kwani ni mandatory kuchukua kadi mpya? Nataka kujua maana wengine tupo mbali kidogo. Tukijuzwa tutakua ktk nafasi ya kupanga na kuchagua.
Huna na maana la kusemaActually nlikua staki kuandika kwa kirefu hivi, Lakini umenkera sana na cheap idiotic accusations zisizo na kichwa wala miguu
Wale ambao card zao za NBC zilishachoka wana advantage zaidi, kwani NBC Visa + MasterCard sasa zinatolewa bure bila malipo. Changamkieni muwe na uwezo wa kuchukua pesa kwenye ATM za mabenki tofauti (ila kwa gharama zaidi kila muamala) ila walau itawasaidia wale wanaokuwa na shida ya fedha huku ATM za benki yao ikiwa haifanyi kazi. Lakini ndo hivyo, kama watu mlizoea kutofautisha ATM Card zenu kwa kuangalia picha, kwa sasa mtalazimika mkariri namba za card, kwani hakuna picha, vinginevyo unaweza ukajikuta umebeba kadi ya mkeo au mumeo, unafika kwenye ATM unashangaa umekosea password ! Sana sana signature ndio itasaidia kutofautisha, ila nayo ipo upande wa nyuma! Na wale mnaosafiri nje ya nchi sasa mna nafasi zaidi ya uhakika wa kuchukua fedha mkiwa huko. KAZI KWENU !!
Huna akili , nachelea sina muda wakubishana na mtu mpumbavu mwene shingo ngumu.Na hapa na wewe ulitaka nini?.Mbona huelewi unalosema.
Huna na maana la kusema
Je umejaribu kuwauliza ni lazima mtu aende mkoani alikofungulia account au anaweza kuchukua head office Dar, badala ya kutumia pesa kusafiri?