WATAHINIWA wapatao 2,602 wamefeli mtihani wa bodi ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu [NBAA]
Tarifa iliyotolewa na bodi na kusainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wake, Pius Maneno ilisema jumla ya waliofanya mtihani huo walikuwa 3,125 na kati yao watahiniwa 523 tu sawa na asilimia 16.7 walifaulu.
Source: Nifaamishe
Tarifa iliyotolewa na bodi na kusainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wake, Pius Maneno ilisema jumla ya waliofanya mtihani huo walikuwa 3,125 na kati yao watahiniwa 523 tu sawa na asilimia 16.7 walifaulu.
Source: Nifaamishe