Nazitafuta sana hizi perfume. Wapi nitazipata kwa DSM?

Nazitafuta sana hizi perfume. Wapi nitazipata kwa DSM?

Mwenye kufahamu wapi naweza pata hizi perfume za kiarabu. Nimezitafuta sana bila mafanikio kuna duka walikuwa wanauza mtaa wa jangwani halipo tena siku hizi.

1. Al Rehab Avenue
2. Al Rehab Silver
3. Rasasi La Yuqawam
Unaweza ukaenda ndani ya kituo cha SGR Dar, kuna duka la perfumes kali mle. Nadhani ni floor ya kwanza
 
Mwenye kufahamu wapi naweza pata hizi perfume za kiarabu. Nimezitafuta sana bila mafanikio kuna duka walikuwa wanauza mtaa wa jangwani halipo tena siku hizi.

1. Al Rehab Avenue
2. Al Rehab Silver
3. Rasasi La Yuqawam
Mbona hayo majina ni kama vile perfume za watu waliopo sober house
 
Mwenye kufahamu wapi naweza pata hizi perfume za kiarabu. Nimezitafuta sana bila mafanikio kuna duka walikuwa wanauza mtaa wa jangwani halipo tena siku hizi.

1. Al Rehab Avenue
2. Al Rehab Silver
3. Rasasi La Yuqawam
Unazo unauza, njoo na ile ID nyingine uwauzie.
 
Nenda mtaa wa Lumumba, Tawi la crdb karibu na jengo la CCM. Kabla ya crdb kuna duka la furniture nadhani ni furniture centre wale mtaa huo huo shuka chini kama unaenda Kkoo. Kama jengo la nne au la tano upande wako wa kushoto utaona Duka la perfume kuna jamaa mwarabu anapiga chafya kama la ugoro ndo hapo hapo
Bei zake zipoje mkuu?
 
Walioenda kwa Yusuph naomba mrejesho😁
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom