Nazitafuta sana hizi perfume. Wapi nitazipata kwa DSM?

Nazitafuta sana hizi perfume. Wapi nitazipata kwa DSM?

mimi mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2019
Posts
304
Reaction score
660
Mwenye kufahamu wapi naweza pata hizi perfume za kiarabu. Nimezitafuta sana bila mafanikio kuna duka walikuwa wanauza mtaa wa jangwani halipo tena siku hizi.

1. Al Rehab Avenue
2. Al Rehab Silver
3. Rasasi La Yuqawam
 
Kama Kuna Yusuf Yoyote Unamfahamu Wewe Nenda
IMG_20250320_103757.jpg


Umepata likes mbili, zinakutosha? Au waje wengine nawe ujihisi una watu wa kukupa attention?
 
Kwa Yusuf ni wapi?
Nenda mtaa wa Lumumba, Tawi la crdb karibu na jengo la CCM. Kabla ya crdb kuna duka la furniture nadhani ni furniture centre wale mtaa huo huo shuka chini kama unaenda Kkoo. Kama jengo la nne au la tano upande wako wa kushoto utaona Duka la perfume kuna jamaa mwarabu anapiga chafya kama la ugoro ndo hapo hapo
 
Nenda mtaa wa Lumumba, Tawi la crdb karibu na jengo la CCM. Kabla ya crdb kuna duka la furniture nadhani ni furniture centre wale mtaa huo huo shuka chini kama unaenda Kkoo. Kama jengo la nne au la tano upande wako wa kushoto utaona Duka la perfume kuna jamaa mwarabu anapiga chafya kama la ugoro ndo hapo hapo
Many thanks mkuu, nitafika hapo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom