mkuu mim tangu 2017 niliachana na smartphones baada ya mabando kupanda maana mim ni mlevi sana wa internet so nilikuwa napoteza pesa nyingi kwa bundles nikaona nihamie kwa nokia zile za batani. Nimetumia nokia c3, nokia e5, nokia asha. Sasa zikaja zikapigwa pin nikahamia kwenye hivi vi tecno vya batani vyenye operamin.Kwa matumizi ya kawaida, unaingia Jamii forum, Facebook na site mbali mbali, ila hauwezi tu kuingia YouTube, WhatsApp n.k
Mimi hii ilinifaa Sana.
Kwa ufupi ni simu kwa ajili ya mtu anayependa kusoma soma, siyo mtu anayependa kuangalia video.
Chaji kama unavyojua Tecno za Batani unakaa hata siku 5 na mziki unasikiliza.View attachment 2883530
Wewe ni mimi kabisa. Mimi nimetumia NOKIA C2, then nikahamia TECNO T402 ya laini 3 na sasa ninayo T375 ya laini 3 na smartphone moja.mkuu mim tangu 2017 niliachana na smartphones baada ya mabando kupanda maana mim ni mlevi sana wa internet so nilikuwa napoteza pesa nyingi kwa bundles nikaona nihamie kwa nokia zile za batani. Nimetumia nokia c3, nokia e5, nokia asha. Sasa zikaja zikapigwa pin nikahamia kwenye hivi vi tecno vya batani vyenye operamin.
Kwa sasa nina kitecno t475 naserereka nacho najaza tu vocha ya buku sijiungi yani hiyo buku mpaka iishe ni zaidi ya mwezi. Ila sasa changamoto nikwamba member akiandika coment akaweka na vi emoj, coment inakuwa haionekani kbs
Hadi nimeshangaa,Desktop yako itakuwa ina run windows 7, 8 au xp ambazo zimefikia ukomo wa kupokea updates
Kwa windows 10 na 11 ni ngumu kutoboa na 490 kwa wiki labda kama umeiset kwa mitered connection
Nakushari uwe unanunua kile kisichoisha mudaWewe ni mimi kabisa. Mimi nimetumia NOKIA C2, then nikahamia TECNO T402 ya laini 3 na sasa ninayo T375 ya laini 3 na smartphone moja.
Uzuri wa hizi ukinunua bundle la intaneti la wiki humalizi yaani wiki inaisha lakini wewe unakuta umetumia MB 100 tu.
Kwa hiyo mi solution nikawa naweka tu muda wa maongezi then natereza kavu. Baadaye nikapa solution ya TTCL naunga MB za BUFEE hata za 500 natumia sa
Ndiyo hiyo natumia BUFEE, mfano hapa nimeunga tarehe 19 January MB 300 mpaka leo nina mb 246.Nakushari uwe unanunua kile kisichoisha muda
Sasa uliylizia nini kama majibu huyataki, kubana MB kwa ratio ukiyotaka wewe msingi wa kwanza picha na video jamaa kakuka ushauri unaohitajika wewe unarwta habari za ku enjoy kama unataka ku enjoy sawa kaangalie ma video You Tube siku nzimaSasa hapo utaenjoy nini mshamba_hachekwi
Mbona hata nusu siku hazifiki?Kwa mtandao wa tigo utazitumia hizo mb kwa siku 3, ila kwa voda utazitumia masaa 12 tu 😁
wew nikutia vocha tu usiunge bando. Kama una unga bando liwe tu la muda wa maongezi lkn kama ni mb wew kwangua tu tia vocha usiungeWewe ni mimi kabisa. Mimi nimetumia NOKIA C2, then nikahamia TECNO T402 ya laini 3 na sasa ninayo T375 ya laini 3 na smartphone moja.
Uzuri wa hizi ukinunua bundle la intaneti la wiki humalizi yaani wiki inaisha lakini wewe unakuta umetumia MB 100 tu.
Kwa hiyo mi solution nikawa naweka tu muda wa maongezi then natereza kavu. Baadaye nikapa solution ya TTCL naunga MB za BUFEE hata za 500 natumia sa
Inategemea unatumia app gani..Ni swali ambalo nimekaa kujiuliza mnawezaje tumia MB 490 Kwa siku 7.
Binafsi nimeshindwa.
Hii ni discipline ya hali ya juuKutumia 500M inabidi ujitese kama umezoea mitandao, inabidi
1/Utumie sana mitandao ya maneno tu kama Jamiiforums na WhatsApp, only texts in WhatsApp
2/Inabidi uzime na kuwasha Data Killamara mfano ukishagungua uzi unazima data unasoma wee ukitaka kuingia page nyengine unawasha the off
3/Freeze YouTube, IG na X
4/Delete all App running at the back
Mbali na hapo hakuna njia nyengine
mimi nimeweka pending windows update mpaka 2036 ni ya kishenzi sana ukiiacha inapurua MB's iMimi laptop yangu inakula bundle kinoma. Nimeset hiyo metered connection na data limit wapi.
Nenda shule bana zimeshafunguliwaNi swali ambalo nimekaa kujiuliza mnawezaje tumia MB 490 Kwa siku 7.
Binafsi nimeshindwa.
Tumia Jamii ForumAPP pekeyake tena ni kila masaa 4 tumia saa1.Ni swali ambalo nimekaa kujiuliza mnawezaje tumia MB 490 Kwa siku 7.
Binafsi nimeshindwa.