Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,911
- 82,213
Mie natumia gb 80 kwa siku
Hata uweke pending bado inasumbua tumimi nimeweka pending windows update mpaka 2036 ni ya kishenzi sana ukiiacha inapurua MB's i
Turn off windows update manually ndo utatumia pc kwa raha, bila hivyo utaona operator wote wezi. Insta na Youtube usiguse.Hata uweke pending bado inasumbua tu
Usisahau na kuwasha data saver ili kuzuia zile apps zinazotafuna data background.Kutumia 500M inabidi ujitese kama umezoea mitandao, inabidi
1/Utumie sana mitandao ya maneno tu kama Jamiiforums na WhatsApp, only texts in WhatsApp
2/Inabidi uzime na kuwasha Data Killamara mfano ukishagungua uzi unazima data unasoma wee ukitaka kuingia page nyengine unawasha the off
3/Freeze YouTube, IG na X
4/Delete all App running at the back
Mbali na hapo hakuna njia nyengine
Unashinda Bang Bros au Brazzers sio bure.Mie natumia gb 80 kwa siku