IGUDUNG'WA
JF-Expert Member
- Oct 22, 2011
- 2,071
- 1,314
Duuh kazi kweli...... serikali imebana sana ajira
Hapo ndio umeharibu kila kitu.. Hata kama wangekuwa wanatoa kazi kihuni kama unavyodhani na kuhadithiwa huko vichochoroni basi wewe ingekupitaJamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k
Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .
Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
tehe tehe teheKama akinyoa tu Nywele zake za Bonde la Ufa na Bonde la Mkwajuni huwa anatangaza kwa Watu, je Siri za nchi unadhani ataweza kuzitunza?
Njoo Pm Mkuu niku connect.Kwanjaa uliyonayo hufai kuwa afisa usalama.. utanunulika kiraisi sana! Usalama wa taifa unaongonzwa kwa uzalendo sio kwasababu umekosa shughuli ya kufanya!
MM pia nipo tayar mkuu
Njoo Pm Mkuu Niku connect.Jamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k
Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .
Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
Hizo recommendation zinafanyika kwa siri na ndio chanzo cha nepotism sehemu za kazi. Sitashangaa kuona huko nako kumejaa kabila moja na kinazungumzwa kilugha.Wale jamaa huwa hawatafutwi. Wao ndio hukutafuta wewe.....kupitia reccomendations za wenzao (vyuoni, nyumba za ibada, mtaani etc) kabla hawajaanza kukuivestigate fully na kukufuata. Kama hujatafutwa mpaka sasa, basi wewe hutoshi kwa vigezo na masharti yao.
Wale jamaa huwa hawatafutwi. Wao ndio hukutafuta wewe.....kupitia reccomendations za wenzao (vyuoni, nyumba za ibada, mtaani etc) kabla hawajaanza kukuivestigate fully na kukufuata. Kama hujatafutwa mpaka sasa, basi wewe hutoshi kwa vigezo na masharti yao.
Vip mkuu haya ss nimekuj pmNjoo Pm Mkuu Niku connect.
Kabla ya kuwa na hicho "kifua" ushaambiwa anatafuta "hela ya mboga" sasa aanzie wapi kutunza siri kwa anaempa hela ya mboga au kwa anaemletea mboga mlangoni?una kifua cha kutunza siri
Hizo recommendation zinafanyika kwa siri na ndio chanzo cha nepotism sehemu za kazi. Sitashangaa kuona huko nako kumejaa kabila moja na kinazungumzwa kilugha.
Umefika sasa wakati wa kutangaza nafasi za kazi kisha wafanye uteuzi miongoni mwa watakaokidhi vigezo na wapewe mafunzo kwa siri.
Unajuaje kama ndio wamejaa hukoIli wanyarwanda na wakenya waapply usalama wa nchi uwe hatiani ehh?