fungi06
JF-Expert Member
- Jul 1, 2020
- 633
- 857
Hello there!
Kumekua na uhaba mkubwa wa ajira sana nchini kwetu, kiongozi sahihi atakae tokea kumaliza huu ukame atakua amesaidia sana taifa n hakika ataweka legacy kubwa kama ile iliyowekwa na baba wa taifa kwa kukomboa nchi.
Mbali na ugumu wa ajira uliopo sasa nchini huenda mda mwingine nikutokana na access ya information.
Juzi nimekuta fundi anatafuta vibarua wakusaidiana nae kubeba tofali kupandisha ukuta wa gorofa, ambapo par day ni elfu 10 mpaka elfu 8. Si sawa nakukaa bure.
Nikagundua ni tatizo la access ya information, fundi anajuana na watu wake ndio ila sio kila mmoja anakua na hali nzuri kila siku na sio kila kazi wanakua wanajitosheleza.
Huu uzi naomba MAFUNDI mlipo popote unaandika eneo unapofanya kazi,
Idadi ya mafundi(vibarua) unaoitaji,
Bila kusahau Namba yako sa simu.
Kazi za site jamani zisilale. Unakuta ujenzi wa wiki unachukua miezi kisa Vibaru hamna.
Vibarua wapo sema access ya information inakua hamna. Tusaidiane hapa maana vijana ni wengi mtaani wasio na kazi, ila wapo tiyari kuingia site mda wowote.
Pia kwa wale wanaoitaji vibarua pia washambani, mnaweza pia andika eneo ulilopo na idadi ya vibarua unaoitaji bila kuacha kuweka namba yako yasimu utafutwe utoe kazi.
Tusaidiane kwa chochote kitu, huwezi kula ngombe mzima mwenyewe kwenye jamii ya watu wenye upendo kama wa hii nchi yetu👷🏿👷🏿👷🏿👷🏿
Tuitane SITE.
Kumekua na uhaba mkubwa wa ajira sana nchini kwetu, kiongozi sahihi atakae tokea kumaliza huu ukame atakua amesaidia sana taifa n hakika ataweka legacy kubwa kama ile iliyowekwa na baba wa taifa kwa kukomboa nchi.
Mbali na ugumu wa ajira uliopo sasa nchini huenda mda mwingine nikutokana na access ya information.
Juzi nimekuta fundi anatafuta vibarua wakusaidiana nae kubeba tofali kupandisha ukuta wa gorofa, ambapo par day ni elfu 10 mpaka elfu 8. Si sawa nakukaa bure.
Nikagundua ni tatizo la access ya information, fundi anajuana na watu wake ndio ila sio kila mmoja anakua na hali nzuri kila siku na sio kila kazi wanakua wanajitosheleza.
Huu uzi naomba MAFUNDI mlipo popote unaandika eneo unapofanya kazi,
Idadi ya mafundi(vibarua) unaoitaji,
Bila kusahau Namba yako sa simu.
Kazi za site jamani zisilale. Unakuta ujenzi wa wiki unachukua miezi kisa Vibaru hamna.
Vibarua wapo sema access ya information inakua hamna. Tusaidiane hapa maana vijana ni wengi mtaani wasio na kazi, ila wapo tiyari kuingia site mda wowote.
Pia kwa wale wanaoitaji vibarua pia washambani, mnaweza pia andika eneo ulilopo na idadi ya vibarua unaoitaji bila kuacha kuweka namba yako yasimu utafutwe utoe kazi.
Tusaidiane kwa chochote kitu, huwezi kula ngombe mzima mwenyewe kwenye jamii ya watu wenye upendo kama wa hii nchi yetu👷🏿👷🏿👷🏿👷🏿
Tuitane SITE.