Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa hiyo uko tayari kuwa chizi
Hiyo ni kazi ya kujitolea, haina kipato. wewe kama hapo ulipo unaona kuna mtu anaingia gesti sahizi, fikisha taarifa kunakohusika
Sio kwa nchi hiiJamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k
Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .
Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
Sasa hivo taarifa unapeleka wapi?,usiniambie nipeleke polisi,plsKwa namna moja au nyingine, kila mtanzania mzalendo ni informer wa usalama wa taifa.
MM pia nipo tayar mkuuNjoo nikupeleke kwa wahusika ukajieleze zaidi.
Sijui kama sheria za bongo zinaruhusu private investigatorIdea nyingine aanzishe ofisi ya upelelezi wa ndoa zenye michepuko yaani mtu ANAKUPA pesa unamfuatilia mke wake na ku mtrace km shida ni hela atabahatisha
watampataje sasaKama wanakuhitaji watakupata.
Jamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k
Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .
Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
Ni PmJamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k
Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .
Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
Anza kuwa informer katika mazingira unayoishi haswa nyumbani kwako au katika familia yako ninavyofahamu mimi kila mtanzania ni informerJamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k
Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .
Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
Jamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k
Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .
Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
una kifua cha kutunza siri
Wamekusika coz wapo wengi humu.