Nawezaje kuwa informer wa Usalama wa Taifa?

Jamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k

Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .

Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
Sio kwa nchi hii
 
Idea nyingine aanzishe ofisi ya upelelezi wa ndoa zenye michepuko yaani mtu ANAKUPA pesa unamfuatilia mke wake na ku mtrace km shida ni hela atabahatisha
Sijui kama sheria za bongo zinaruhusu private investigator
 
Jamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k

Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .

Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
 
Jamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k

Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .

Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
Ni Pm
 
Kwanza unajiunga na shiwaladu, pili kama mpaka sasa hawajakutafuta basi jua huna potential. Tatu, muulize Zitto Kabwe, alikuwa karibu sana na Jack Zoka enzi zile yuko mguu nje mguu ndani. Nne, kwanini unataka kutumikia idara ambayo kazi yake haipo tangible? Hautakuwa frastrated ukiona taarifa zako hazifanyiwi kazi? Sijawahi kutamani hii kazi, sina asili ya usnitch:D:D
 
Jamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k

Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .

Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee
Anza kuwa informer katika mazingira unayoishi haswa nyumbani kwako au katika familia yako ninavyofahamu mimi kila mtanzania ni informer
 
Jamani wana ndugu kuna tetesi huwa nazikia mitaani mtu unaweza kufanya kazi za usalama kama informer sehemu kama vile masokoni, barabarani, uswahilini, kumbi za starehe n.k

Kwa jinsi nilivyosikia ni kuwa informer wa usalama wa taifa yeye anafanya kazi hata kama hajapitia mafunzo ya kijeshi ila wewe unapewa short training jinsi ya kutafuta data na kufanya submission ya report .

Jamani kama mtu humu ndani anafahamu jinsi ya kupata hizi nafasi tusaidiane kwa hali hii wengine hapa tupo tayari hata kuonekana machizi ili mradi hela ya mboga isikosekana hivo anayefamu atujulisheeee

Labda Informer wa JF atatusaidia zaidi katika hili kwani ni ' Mjuvi ' japo sijajua kama na Yeye ni ' Informer ' wa huko huko ulikokutaja. Ni matumaini yangu atatujibu ili na sisi ' Mangumbaru ' tusiojua chochote tuweze kuokoteza okoteza ' tuwili tutatu '.
 
Wamekusika coz wapo wengi humu.

Mkuu kumbe ' tunadukuliwa ' nao sana humu? Nilikuwa sijui kama tunao humu humu JF na sasa nitaanza kuwa makini kwani ' Jamaa ' nawaogopa mno na hawashindwi kitu kama wakiamua. Asante kwa kunifunua akili leo juu ya uwepo wao humu Jamvini.
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom