Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

Nawezaje kupata simu ilioibiwa?

Bingili

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2019
Posts
317
Reaction score
814
Wakuu vibaka wameniibia simu yangu Samsung Galaxy Tab A 7. android 5.x.x
nimejaribu kuitrack lakini naona itakua imefanyiwa factory reset, android version yake haina ile lock ambayo hata uki rest haitoki

naombeni ushauri kuna namna naweza fanya kabla ya kwenda polisi nimepewa fununu plisi wanaweza kuitrack ikapatikana

Nawasilisha
 
Una kiasi gani??
Wakuu vibaka wameniibia simu yangu Samsung Galaxy Tab A 7. android 5.x.x
nimejaribu kuitrack lakini naona itakua imefanyiwa factory reset, android version yake haina ile lock ambayo hata uki rest haitoki

naombeni ushauri kuna namna naweza fanya kabla ya kwenda polisi
nimepewa fununu plisi wanaweza kuitrack ikapatikana

nawasilisha
 
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unafanyaje!
 
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss nikiflash simu hutokaa uipate andika maumivu
 
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupataje unisadie kutrack simu. Note 9.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipo vifaa vya wazungu tunatumia mkuu watu wamezoea ku download app play store ambazo hazifanyi kazi kabisa .....vipo vifaa maalum ambavyo huwezi kuruka wala kudanganya wengi nimewafanyia kazi na wamepata simu zao na kama wapo humu waje watoe shuhuda zao.
all in all ninacho hitaji kikubwa kabla sijaanza kazi yangu ni rb tuu uliyo pewa polisi then mimi nitajua nini cha kufanya popote ulipo ilimradi iwe tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe whatsapp number yako ni save tu in case

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du we noma
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hebu tupe elimu mkuu.
 
vipo vifaa vya wazungu tunatumia mkuu watu wamezoea ku download app play store ambazo hazifanyi kazi kabisa .....vipo vifaa maalum ambavyo huwezi kuruka wala kudanganya wengi nimewafanyia kazi na wamepata simu zao na kama wapo humu waje watoe shuhuda zao.
all in all ninacho hitaji kikubwa kabla sijaanza kazi yangu ni rb tuu uliyo pewa polisi then mimi nitajua nini cha kufanya popote ulipo ilimradi iwe tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu salute kwako Mimi Nina rb ya alieibiwa mwaka umepita je muda sio tatizo?
 
Mkuu yoshas hujaweka mawasiliano ya namna ya kuwasiliana ila umesema pm na pm unasema huingii Mara kwa kwa Mara jf
 
vipo vifaa vya wazungu tunatumia mkuu watu wamezoea ku download app play store ambazo hazifanyi kazi kabisa .....vipo vifaa maalum ambavyo huwezi kuruka wala kudanganya wengi nimewafanyia kazi na wamepata simu zao na kama wapo humu waje watoe shuhuda zao.
all in all ninacho hitaji kikubwa kabla sijaanza kazi yangu ni rb tuu uliyo pewa polisi then mimi nitajua nini cha kufanya popote ulipo ilimradi iwe tanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba mawasiliano .
 
mkuu yoshas account yng ya apple ID imefungwa na imegoma kulog out vp unaweza kunisaidia?
 
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 kuna nyingine huwezi zipata mzee na wengi wanaopatikana bado hawanauelewa wa simu vzr mm ningekuwa mwizi huwezi nipata kifala kama wanavyopatikana hao maboya.
 
simu ikiibiwa hata ufanye restore factory bado asilimia 100% za kumnyakua mwizi zipo
nahata wakiiflash unanyakua mpaka fundi maana tunacollect hadi ip adress za computer ilofanya hilo zoezi.
na pia kama imetembea kwa watu zaidi ya 10 kila aloweka laini yake unanyakua hadi wa mwisho sasa hapo una chagua upate simu yako tuu au na mwizi wako mkapambane.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ikibadilishwa imei number mkuu?
 
Back
Top Bottom