Wakuu vibaka wameniibia simu yangu Samsung Galaxy Tab A 7. android 5.x.x
nimejaribu kuitrack lakini naona itakua imefanyiwa factory reset, android version yake haina ile lock ambayo hata uki rest haitoki
naombeni ushauri kuna namna naweza fanya kabla ya kwenda polisi nimepewa fununu plisi wanaweza kuitrack ikapatikana
Nawasilisha
nimejaribu kuitrack lakini naona itakua imefanyiwa factory reset, android version yake haina ile lock ambayo hata uki rest haitoki
naombeni ushauri kuna namna naweza fanya kabla ya kwenda polisi nimepewa fununu plisi wanaweza kuitrack ikapatikana
Nawasilisha