Nawezaje kupata mwanamke wa kizungu

Nawezaje kupata mwanamke wa kizungu

Solo Traveller

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,725
Reaction score
5,186
Naomba tumia busara kunijibu
Mimi Nina shahada yangu safi TU.
Nina a lot of busines idea.

Ila changamoto kubwa ni mtaji
Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu

Baada ya penzi kunoga naweza kupata mtaji na kutoboa

Nipo zanzibar kwasasa naweza kutumia njia gani kuwapata nimetumia tinder naona namatch na mala ya a wa kibongo wanaojiuza

Matusi sijibu
 
Naomba tumia busara kunijibu
Mimi Nina shahada yangu safi TU.
Nina a lot of busines idea.

Ila changamoto kubwa ni mtaji
Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu

Baada ya penzi kunoga naweza kupata mtaji na kutoboa

Nipo zanzibar kwasasa naweza kutumia njia gani kuwapata nimetumia tinder naona namatch na mala ya a wa kibongo wanaojiuza

Matusi sijibu

Huko Uarabuni umekosa?
 
KULA VIZURI,JENGA MWILI UWE NA KIFUA KIPANA, SIX PACKS NA ONGEZA UNENE NA UREFU WA MSHEDEDE....ANZA KUPOST PICHA INSTAGRAM(ZIWE KALI)
MWEZI MMOJA DM YAKO IMEJAA MISHANGAZI YENYE HERA
 
Inatakiwa uchapwe viboko kwanza, kisha hicho cheti chako chenye bachelor kikachomwe moto.... bladi hell☹️
 
Naomba tumia busara kunijibu
Mimi Nina shahada yangu safi TU.
Nina a lot of busines idea.

Ila changamoto kubwa ni mtaji
Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu

Baada ya penzi kunoga naweza kupata mtaji na kutoboa

Nipo zanzibar kwasasa naweza kutumia njia gani kuwapata nimetumia tinder naona namatch na mala ya a wa kibongo wanaojiuza

Matusi sijibu
Another innocent neck carrying a rotten pumpkin head😭
 
Ukiwa na matamanio ya hivyo,unakuwa vulnerable kitu ambacho ni hatari sana.Kanuni za kupata mtaji kwa ajili ya kufanikisha mpango wako zipo wazi tafuta kazi fanya saving.Vilevile,tafuta marafiki ndugu au jamaa wakupe support.
Kupata mwanamke wa kizungu mwenye pesa ni bahati kama ilivyo ndoto ya kila mwanamke kuolewa na mwanaume mwenye pesa but wachache wanapata bahati hiyo.
 
KULA VIZURI,JENGA MWILI UWE NA KIFUA KIPANA, SIX PACKS NA ONGEZA UNENE NA UREFU WA MSHEDEDE....ANZA KUPOST PICHA INSTAGRAM(ZIWE KALI)
MWEZI MMOJA DM YAKO IMEJAA MISHANGAZI YENYE HERA
We unayo mingapi mpaka sasa?
 
Uliposema zanzibar ndio umeshapata jibu wapo kila area huko forodhani garden,ufukweni mwa bahari na hotelini
 
Ukiwa na matamanio ya hivyo,unakuwa vulnerable kitu ambacho ni hatari sana.Kanuni za kupata mtaji kwa ajili ya kufanikisha mpango wako zipo wazi tafuta kazi fanya saving.Vilevile,tafuta marafiki ndugu au jamaa wakupe support.
Kupata mwanamke wa kizungu mwenye pesa ni bahati kama ilivyo ndoto ya kila mwanamke kuolewa na mwanaume mwenye pesa but wachache wanapata bahati hiyo.
Ni kweli
 
Ving'asti na marioo ktk ubora wao, Lol
Kila la kheri Joohz. 😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom