Nawezaje kupata mwanamke wa kizungu

Nawezaje kupata mwanamke wa kizungu

Naomba tumia busara kunijibu
Mimi Nina shahada yangu safi TU.
Nina a lot of busines idea.

Ila changamoto kubwa ni mtaji
Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu

Baada ya penzi kunoga naweza kupata mtaji na kutoboa

Nipo zanzibar kwasasa naweza kutumia njia gani kuwapata nimetumia tinder naona namatch na mala ya a wa kibongo wanaojiuza

Matusi sijibu
Zanzibar ndio mahali sahihi kukutana na kuoa wazungu lakini pia cheza maeneo ya Arusha na uwe katika tasnia ya utalii, wenzako huko wameoa na kuolewa na wazungu sana na kuna hadi jumuiya ya waliooa/kuolewa Ulaya huko Arusha na Moshi.
 
Naomba tumia busara kunijibu
Mimi Nina shahada yangu safi TU.
Nina a lot of busines idea.

Ila changamoto kubwa ni mtaji
Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu

Baada ya penzi kunoga naweza kupata mtaji na kutoboa

Nipo zanzibar kwasasa naweza kutumia njia gani kuwapata nimetumia tinder naona namatch na mala ya a wa kibongo wanaojiuza

Matusi sijibu
Hello Mr black where are you.
 
ni mtazamo wako skupingi ila ujue kuna saa ukimpata utatumikishwa kama punda ...skia hiki kisa.
Jamaa mmoja toka Arusha alikuwa Mwongoza watalii baadae akapata kasha ngazi ka kizungu kaka peleka Ulaya na kumwahidi kazi ila alipo fika jamaa akafungiwa ndani ikawa kazi yake ni ku m s e..KS Tu yule shangazi wa kizungu.
fikiria Ulaya wanafanya kazi kwa masaa anaenda kazin anakaa masaa 3 akirudi Ni se..KS Tu ..anatoka tena akirudi ni se..KS Tu ..Baadae Rafiki yake wa kike akamtembelea yule mzungu mwenzake Akaona Kumbe Kuna se..KS toy jeusi Hapa ..na yeye akawa anakuja kwa kujiiba anampa jamaa na kumwahidi vitu ..kadha ikafika mahali Jamaa miguu ikakosa nguvu ya kusimama..Akaanza kuomba tu Mungu bora arudi Bongo ..baadae yule alie mpeleka Ulaya akashtukizia mchezo akavunja urafiki na mwenzake ..yule rafiki yake Akaona haiwezekani bora tukose wote akatoa
siri Jamaa akarudishwa bongo akamsaidia yule mwamba kurudi
OK moral of the story
Unaweza kwenda kuwa se..KS toy Huko Ulaya .
kuhusu stori Hii niambiwa na mtu kutoka Arusha sasa ctaki mtu aanze kusema ..tea ni coffee Au Ni soda ..Angalia moral of the story .
 
Naomba tumia busara kunijibu
Mimi Nina shahada yangu safi TU.
Nina a lot of busines idea.

Ila changamoto kubwa ni mtaji
Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu

Baada ya penzi kunoga naweza kupata mtaji na kutoboa

Nipo zanzibar kwasasa naweza kutumia njia gani kuwapata nimetumia tinder naona namatch na mala ya a wa kibongo wanaojiuza

Matusi sijibu
Ukiwa na sh 400000 unapata
 
Sokota dred au nenda mambele mkuu lakini paipu ndefu na stamina ni vigezo vikuu ova.
 
ni mtazamo wako skupingi ila ujue kuna saa ukimpata utatumikishwa kama punda ...skia hiki kisa.
Jamaa mmoja toka Arusha alikuwa Mwongoza watalii baadae akapata kasha ngazi ka kizungu kaka peleka Ulaya na kumwahidi kazi ila alipo fika jamaa akafungiwa ndani ikawa kazi yake ni ku m s e..KS Tu yule shangazi wa kizungu.
fikiria Ulaya wanafanya kazi kwa masaa anaenda kazin anakaa masaa 3 akirudi Ni se..KS Tu ..anatoka tena akirudi ni se..KS Tu ..Baadae Rafiki yake wa kike akamtembelea yule mzungu mwenzake Akaona Kumbe Kuna se..KS toy jeusi Hapa ..na yeye akawa anakuja kwa kujiiba anampa jamaa na kumwahidi vitu ..kadha ikafika mahali Jamaa miguu ikakosa nguvu ya kusimama..Akaanza kuomba tu Mungu bora arudi Bongo ..baadae yule alie mpeleka Ulaya akashtukizia mchezo akavunja urafiki na mwenzake ..yule rafiki yake Akaona haiwezekani bora tukose wote akatoa
siri Jamaa akarudishwa bongo akamsaidia yule mwamba kurudi
OK moral of the story
Unaweza kwenda kuwa se..KS toy Huko Ulaya .
kuhusu stori Hii niambiwa na mtu kutoka Arusha sasa ctaki mtu aanze kusema ..tea ni coffee Au Ni soda ..Angalia moral of the story .
Hii story ni ya uongo, watu wanaitumia sana kukatisha tamaa wengine.
 
Ulimpata? Kama bado unatafuta ingia dating sites join zile legit ambazo baadhi ni
Bumble, hinge, OK cupid, interracial cupid, mingle2, bumpy, afro introduction, weka profile yako vizuri hasa picha, andika exactly unachotafuta, weka umbali au mabara unayotaka mwenza wako atoke, maxmize distance ya searching yako ukute umeweka 100km kutoka mahali ulipo ndo mwenza atokee...hapo ni lazima utakutana na kina mwadawa......legit dating site ziko nyingi ila sasa usiwe bahili kwenye kulipia app, lipia baadhi zingine kuwa free member, na ili kuchat na mtu kama free member ni lazima mmoja wenu awe amelipia app..unataka kujua utamjuaje? Njoo inbox
 
Hii story ni ya uongo, watu wanaitumia sana kukatisha tamaa wengine.
Kuna story zingine bana! Haya ngoja tuone...labda yule dada alikuwa dominant na jamaa aliambiwa awe submissive lakini inaeza kuwa kahawa hii
 
Naomba tumia busara kunijibu
Mimi Nina shahada yangu safi TU.
Nina a lot of busines idea.

Ila changamoto kubwa ni mtaji
Naona watu wengi wametoka kupitia haya majimama ya kizungu

Baada ya penzi kunoga naweza kupata mtaji na kutoboa

Nipo zanzibar kwasasa naweza kutumia njia gani kuwapata nimetumia tinder naona namatch na mala ya a wa kibongo wanaojiuza

Matusi sijibu
Mwenzako na huu uzee wangu nimefuga rasta, ndani ya wiki moja tu baada ya kuweka tangazo facebook nikampata mtoto mkare balaa kutoka kwa kichaa Trump. Sasa hivi nipo nahangaika kutafuta nauli ili nimtumie aje Lushoto tuendeleze maisha.

Fuga rasta umiliki mtoto mzuri wa Kizungu!
 
Mkuu bado upo na haujapata mzungu

Chukua idea hiyo kama una pesa hata kidogo, tengeneza passport zamia SA

Huko wazungu wa kutosha na kuwapata rahisi sana , nishachapa k za kizungu, sasa nna mwaka bongo sitaki mwanamke wa kiswahili asije akanitoa kismart cha kuchakata k za kizungu

Ukitaka muongozo zaid nijibu hii, ila unatakiwa uwe na mtaji wa kufika huko, usijar kuhusu machafuko ya huko, ndani ya mwaka kama una nia unapata mzungu, mkuu
 
Back
Top Bottom