Natafuta ya Azola,MKUU!Mazao ni mengi na mengine sikuwahi kuyasikoa
Uko wapi?Naomba mwenye mbegu ya Azzolla tuwasiliane hasa kwa mlioko Iringa Au Mbeya nazihitaji sana.Picha yake ni hii chino![]()
Njoo PM mkuu Nina shida nazo sananinayo mzee sehwmu yoyote inakufikia nipo dar