Nawezaje kumpa mtu link

Nawezaje kumpa mtu link

Dah plz jaman me cjaelew fresh nimetest mara kibao bt imezingua!vp hvo vialama?
 
Dah plz jaman me cjaelew fresh nimetest mara kibao bt imezingua!vp hvo vialama?
chrisman49
Kama njia waliyokupa wadau hapo juu inakuwa ngumu kwako kuielewa kuna njia nyingine iangalie inaweza kukusaidia

Ingia HAPA na usome post #2 imeandikwa na Mwali, ukiyaelewa maelekezo hayo na kufanikiwa usisahau kumgongea like Mwali
{Sio vibaya na Cookie naye ukimgongea like. }
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mbona ts easy,weka link kati kwenye sehem niliyoandika link hapo (url)LINK(/url) alafu badala ya mabano haya () weka [ ]. Jaribu kutype ki2 kwenye red hapo afu ubadili mabano then upost uone,hiyo neno hapa ni watu wanatest kutype kama ndo link,haihucki.

Mkuu hebu tazama watu wanavyochemka, hii ni kuonesha hawajaelewa, naomba uelekeze vizuri, humo kwenye brackets za blue unaweka kitu gani au unaacha kama zilivyo then unaweka hiyo link kwe red?
 
Back
Top Bottom