TWIZAMALLYA
JF-Expert Member
- Oct 1, 2011
- 397
- 81
hapa
nashukuru mzee kama sijakosea manake niko majaribioni
good try
hapa
nashukuru mzee kama sijakosea manake niko majaribioni
Mkuu achana nae huyo, dalili za mtu mjinga ni kujifanya mjuaji.Nadhani wewe ndo mshamba labda huelewi moja ya faida ya mitandao ya kijamii!
Mkuu achana nae huyo, dalili za mtu mjinga ni kujifanya mjuaji.
Nimejaribu ku-insert link ya Jf ili ku-invite rafiki zangu waliopo Fb ili waje waone utamu wa hapa jamvini lkn haikufanya kazi kama nilivyotarajia. Au hii ni kwa ajili ya Jf peke yake? Lengo langu niwaambie bonyeza HAPA. NB: braketi nilizotumia ni hizi [ ] na nikajaribu na hizi pia < > lkn haikujibu. Niliandaa link yangu ilikuwa ya mfano huu (url="https://www.jamiiforums.com/register.php")HAPA(/url). Nilikuwa nakosea wapi?