Nawezaje kumpa mtu link

koo

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
258
67
Naomba msaada namna ninavyoweza kumtumia mtu email au kupost humu ndani nikiwa nimeweka link na mtu akibofya anakuwa directed kwenye site husika
 
Cheki huu mfano hapa
(url="www.jamiiforums.com") HAPA (/url)
then hapo kwenye mabano ya ( ) badili yawe [ ]
hapo ningeweka moja kwa moja mabano ya [ ] ucngeona,
badala yake ungeona neno HAPA hlf hilo neno litakuwa highlighted na ukilibonyeza lingekupeleka jamiiforums
nadhani nime eleweka jaribu then uniweke hapa nione kama umeweza!
Tchao
 
Zuia Sayayi;3771118]Cheki huu mfano hapa
(url="www.jamiiforums.com") HAPA (/url)
then hapo kwenye mabano ya ( ) badili yawe [ ]
hapo ningeweka moja kwa moja mabano ya [ ] ucngeona,
badala yake ungeona neno HAPA hlf hilo neno litakuwa highlighted na ukilibonyeza lingekupeleka jamiiforums
nadhani nime eleweka jaribu then uniweke hapa nione kama umeweza!
Tchao
HAPA
nashukuru mzee kama sijakosea manake niko majaribioni
 
Cheki huu mfano hapa
(url="www.jamiiforums.com") HAPA (/url)
then hapo kwenye mabano ya ( ) badili yawe [ ]
hapo ningeweka moja kwa moja mabano ya [ ] ucngeona,
badala yake ungeona neno HAPA hlf hilo neno litakuwa highlighted na ukilibonyeza lingekupeleka jamiiforums
nadhani nime eleweka jaribu then uniweke hapa nione kama umeweza!
Tchao
bonyeza HAPA [url]
 
Cheki huu mfano hapa
(url="www.jamiiforums.com") HAPA (/url)
then hapo kwenye mabano ya ( ) badili yawe [ ]
hapo ningeweka moja kwa moja mabano ya [ ] ucngeona,
badala yake ungeona neno HAPA hlf hilo neno litakuwa highlighted na ukilibonyeza lingekupeleka jamiiforums
nadhani nime eleweka jaribu then uniweke hapa nione kama umeweza!
Tchao
angalia hii HAPA
 
Even just with (url)LINK(/url) kama kawa kwenye mabano haya "( )" weka [ ]
 
cheki huu mfano hapa
(url="www.jamiiforums.com") hapa (/url)
then hapo kwenye mabano ya ( ) badili yawe [ ]
hapo ningeweka moja kwa moja mabano ya [ ] ucngeona,
badala yake ungeona neno hapa hlf hilo neno litakuwa highlighted na ukilibonyeza lingekupeleka jamiiforums
nadhani nime eleweka jaribu then uniweke hapa nione kama umeweza!
Tchao

hapa
 
Back
Top Bottom