Nawezaje kubadilika?

Nawezaje kubadilika?

mmh kweli hiyo ni inborn character
maana mimi sijui ndo roho mbaya au nini, yaani nikusaidie halafu siku niwe na shida usionyeshe ushirikiano hata wa ushauri tuu
ni bora usahau kabisa msaada wangu

Yaani hiyo tabia ninayo sana, mtu akija na shida kama iko ndani ya uwezo wangu siwezi kuacha kumsaidia. Du kumbe tupo wengi, Mungu atubariki sana.
 
nilikua kama ww yaliyonikutaga cna hamu fadhila nilizolipwa mie nilipopata shida aisee ni pm .
 
kila nikitaka kubadiika na shindwa hata nikitaka kuweka ukauzu cwezi nahisi malezi nayo yanachangia na pia itakuwa ni kati ya mojawapo kweny wazaz wako wapo hivyo au wote.
 
Fungua charity center au kituo cha kutoa misaada
 
Kind heart can kill you softly, hongera kwa utoaji one day it can pay you back zaidi ya utoavyo
 
Hilo si tatizo ni tabia njema sana so huna haja ya kuitafutia ufumbuzi
 
Babu asante kwa ushauri wako... Yaani uko kama mimi kabisa. Huwa najitahidi kuwa kauzu ila wakati mwingine nahisi kama najibana. All in all nitajitahidi kufuata ushauri wako!

Wewe acha tu CL,

Kwa sasa nimeshaamua kusaidia pale ambapo ni lazima sana ila bado nauvaa mkenge bila kujijua!

Ila kwa kiasi fulani nimepunguza.
 
Kabla hujaandika hapa ungeniuliza wewe una tabia gani kwnye utoaji ningekujibu kama ulivyoandika!!!
Yaani naweza kumjua mtu 'mtoaji' kiasi fulani kupitia maandishi yake!

By the way......nilkuwa Kigoma nikakutafuta kuanzia Ujiji mpaka Uvinza sijakuona, nilkuwa nauliza 'mmeshamwona yule dada wa kinyamwezi aliyejaaliwa?'...holaa

Mwambie Kaunga aje Mahale lodge tule migebuka.
 
Last edited by a moderator:
in fact kutoa siyo ugonjwa,ila kama alivyoongea mdau mmoja hapo juu,hiyo ni inborn traits,huwezi avoid,miye niko same group of cheracter,na huwezi amini wewe huwezi kuwa na shida kama hao,mimi nimetoa sana kwa watu nimesaidia sana watu,lakini sijawahi kuwa katika problem nikakosa solution.i enjoy a lot giving other,mpaka some times uwa naogopa but life goes on.
 
hata mimi hali hii inanipa shida. kuna wakati mwingine nasema siwatafuti hata kwenye simu lakini nashindwa kujizuia. Iweje mimi ninawajari washikaji/mashostito lakini wananikumbuka sana wakiwa katika shida!!

siku moja nilikutana na usemi huu ambao hunitia guvu kila wakati " when people remember you only when they are in need, don't bother because you are like a candle that comes in their mind when there is darkness."

Tuendelee tu kutenda mema rafiki @ Charminglady
 
Yani kwangu ni kama vile huo msemo haupo...wakati nipo chuo nlikuwa nagawa bum looote, kiasi kwamba sijui wiki itayofuatia nakula nini....
Mtu akiumwa hostel nitauguza kama me ndo nesi wa zamu, tena kwa gharama zangu...
Sasa ngoja majanga yanifike....simuoni shosti wala ndugu.....! Yani mpaka nabaki nalia tu....!

Daaah....wewe una tatizo kubwa hakika
 
Habari za jumapili wadau wa jukwaa hili....

Hii tabia imenishinda kuacha, iko hivi....
Iwapo akatokea mtu wangu wa karibu iwe mpenzi/mshikaji/shost ana shida fulani huwa nakuwa mwepesi sana kumsaidia hata kama itanicost kifedha, muda hata nguvu huwa najitahidi sana kumsaidia....


Hata kama niko kazini, niko radhi nitoroke nikamsaidie mtu, kwa mpenzi ndio kabisa yeeeuuuwwiii nashindwa kujizuia.

Nitadanganya hata msiba ilimradi tu nikamsaidie atakacho... Either kazi flan au kumpeleka mahali fulani au kumfatia kitu fulani.

Lakini in returns sasa wananifanyia ndivyo sivyo, huwa napatwa hasira weee nachukia ila baada ya muda nasahau na kuendelea vivyo vivyo....

Unaweza kuwa na shida ukamfata mpenzi, mshikaji / shost kumueleza lakini akadai yuko busy au hana pesa labda, ilhali unafahamu kabisa ana uwezo wa kukusaidia. Mtu huyo huyo hapo baadae anakufata umsaidie wakati yeye huwa hakusaidii ukiwa na shida.

Nifanyeje niiache hii tabia, make inanicost ila nimekuwa kichwa ngumu kuishinda!

Wasalaam

CL

Mi naomba tuwe marafiki tuu..
 
Habari za jumapili wadau wa jukwaa hili....

Hii tabia imenishinda kuacha, iko hivi....
Iwapo akatokea mtu wangu wa karibu iwe mpenzi/mshikaji/shost ana shida fulani huwa nakuwa mwepesi sana kumsaidia hata kama itanicost kifedha, muda hata nguvu huwa najitahidi sana kumsaidia....


Hata kama niko kazini, niko radhi nitoroke nikamsaidie mtu, kwa mpenzi ndio kabisa yeeeuuuwwiii nashindwa kujizuia.

Nitadanganya hata msiba ilimradi tu nikamsaidie atakacho... Either kazi flan au kumpeleka mahali fulani au kumfatia kitu fulani.

Lakini in returns sasa wananifanyia ndivyo sivyo, huwa napatwa hasira weee nachukia ila baada ya muda nasahau na kuendelea vivyo vivyo....

Unaweza kuwa na shida ukamfata mpenzi, mshikaji / shost kumueleza lakini akadai yuko busy au hana pesa labda, ilhali unafahamu kabisa ana uwezo wa kukusaidia. Mtu huyo huyo hapo baadae anakufata umsaidie wakati yeye huwa hakusaidii ukiwa na shida.

Nifanyeje niiache hii tabia, make inanicost ila nimekuwa kichwa ngumu kuishinda!

Wasalaam

CL

Ukishindwa kujizuia itaendelea kula kwako siku zote.
 
sioni tatizo hapo ila unapaswa ukisaidia mtu ufanye kwa moyo na mapenzi yako na sio kwa ku expect something in returns. Mungu anajua kuwa unaweka akiba na huwezi jua utakapofikwa na tatizo ukasaidiwa na mtu ambaye pengine hata kumfahamu au kumuona hujawahi katika maisha yako. Maandiko yanasema inatakiwa mkono wa kulia ukitoa basi wa kushoto usione ulichotoa. Hongera kwa kuwa na moyo mzuri. Wish nikupige mzinga hahahahaaa
Habari za jumapili wadau wa jukwaa hili....

Hii tabia imenishinda kuacha, iko hivi....
Iwapo akatokea mtu wangu wa karibu iwe mpenzi/mshikaji/shost ana shida fulani huwa nakuwa mwepesi sana kumsaidia hata kama itanicost kifedha, muda hata nguvu huwa najitahidi sana kumsaidia....


Hata kama niko kazini, niko radhi nitoroke nikamsaidie mtu, kwa mpenzi ndio kabisa yeeeuuuwwiii nashindwa kujizuia.

Nitadanganya hata msiba ilimradi tu nikamsaidie atakacho... Either kazi flan au kumpeleka mahali fulani au kumfatia kitu fulani.

Lakini in returns sasa wananifanyia ndivyo sivyo, huwa napatwa hasira weee nachukia ila baada ya muda nasahau na kuendelea vivyo vivyo....

Unaweza kuwa na shida ukamfata mpenzi, mshikaji / shost kumueleza lakini akadai yuko busy au hana pesa labda, ilhali unafahamu kabisa ana uwezo wa kukusaidia. Mtu huyo huyo hapo baadae anakufata umsaidie wakati yeye huwa hakusaidii ukiwa na shida.

Nifanyeje niiache hii tabia, make inanicost ila nimekuwa kichwa ngumu kuishinda!

Wasalaam

CL
 
charminglady huruma yako naihitaji sana kwangu!!
Argentina tumepoteza game leo kwa kweli nahitaji huruma yako bana
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom