Nawezaje kubadilika?

Nawezaje kubadilika?

Dinazarde sijui kwanini, mimi huwa najisikia kusadia wakinamama/wanawake kuanzia laki 5 kwenda juu hata kama sina huwa nakopa halafu nabaki na madeni mimi....
 
Last edited by a moderator:
Tenda mema uende zako cl....Hivyo ndivyo ulivo
 
Dinazarde sijui kwanini, mimi huwa najisikia kusadia wakinamama/wanawake kuanzia laki 5 kwenda juu hata kama sina huwa nakopa halafu nabaki na madeni mimi....

Kuanzia elfu hamsini kama anazotaka Honey Faith hua hutakii!!!!ni kuanzia laki 5 kwenda juu umenichekesha et kama huna utakopa hii kalii
 
Last edited by a moderator:
Habari za jumapili wadau wa jukwaa hili....

Hii tabia imenishinda kuacha, iko hivi....
Iwapo akatokea mtu wangu wa karibu iwe mpenzi/mshikaji/shost ana shida fulani huwa nakuwa mwepesi sana kumsaidia hata kama itanicost kifedha, muda hata nguvu huwa najitahidi sana kumsaidia....


Hata kama niko kazini, niko radhi nitoroke nikamsaidie mtu, kwa mpenzi ndio kabisa yeeeuuuwwiii nashindwa kujizuia.

Nitadanganya hata msiba ilimradi tu nikamsaidie atakacho... Either kazi flan au kumpeleka mahali fulani au kumfatia kitu fulani.

Lakini in returns sasa wananifanyia ndivyo sivyo, huwa napatwa hasira weee nachukia ila baada ya muda nasahau na kuendelea vivyo vivyo....

Unaweza kuwa na shida ukamfata mpenzi, mshikaji / shost kumueleza lakini akadai yuko busy au hana pesa labda, ilhali unafahamu kabisa ana uwezo wa kukusaidia. Mtu huyo huyo hapo baadae anakufata umsaidie wakati yeye huwa hakusaidii ukiwa na shida.

Nifanyeje niiache hii tabia, make inanicost ila nimekuwa kichwa ngumu kuishinda!

Wasalaam

CL

Hata mimi hii kitu huwa ninayo sana, afu mwisho wa siku nadhulumiwa.
 
Hata mimi hii kitu huwa ninayo sana, afu mwisho wa siku nadhulumiwa.

Mkuu hata mie nishadhulumiwa sana tu! Ila najitahidi kiasi last time nilimfikisha mtu korokoroni aisee, alilia kama mtoto mpaka nikaanza kumuonea huruma! Make alinikuta kipindi kibaya otherwise nilikuwa naelekea kumuachia
 
Umezaliwa mwezi wa ngapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari za jumapili wadau wa jukwaa hili....

Hii tabia imenishinda kuacha, iko hivi....
Iwapo akatokea mtu wangu wa karibu iwe mpenzi/mshikaji/shost ana shida fulani huwa nakuwa mwepesi sana kumsaidia hata kama itanicost kifedha, muda hata nguvu huwa najitahidi sana kumsaidia....


Hata kama niko kazini, niko radhi nitoroke nikamsaidie mtu, kwa mpenzi ndio kabisa yeeeuuuwwiii nashindwa kujizuia.

Nitadanganya hata msiba ilimradi tu nikamsaidie atakacho... Either kazi flan au kumpeleka mahali fulani au kumfatia kitu fulani.

Lakini in returns sasa wananifanyia ndivyo sivyo, huwa napatwa hasira weee nachukia ila baada ya muda nasahau na kuendelea vivyo vivyo....

Unaweza kuwa na shida ukamfata mpenzi, mshikaji / shost kumueleza lakini akadai yuko busy au hana pesa labda, ilhali unafahamu kabisa ana uwezo wa kukusaidia. Mtu huyo huyo hapo baadae anakufata umsaidie wakati yeye huwa hakusaidii ukiwa na shida.

Nifanyeje niiache hii tabia, make inanicost ila nimekuwa kichwa ngumu kuishinda!

Wasalaam

CL

afadhal nmepata mtu wa kulilia shida zangu soon ntakutaarif!nakuombea usiache kuwasaidia watu,utafanikiwa zaid mbelen.M/mungu yupo pomoja nawe!
 
Habari za jumapili wadau wa jukwaa hili....

Hii tabia imenishinda kuacha, iko hivi....
Iwapo akatokea mtu wangu wa karibu iwe mpenzi/mshikaji/shost ana shida fulani huwa nakuwa mwepesi sana kumsaidia hata kama itanicost kifedha, muda hata nguvu huwa najitahidi sana kumsaidia....


Hata kama niko kazini, niko radhi nitoroke nikamsaidie mtu, kwa mpenzi ndio kabisa yeeeuuuwwiii nashindwa kujizuia.

Nitadanganya hata msiba ilimradi tu nikamsaidie atakacho... Either kazi flan au kumpeleka mahali fulani au kumfatia kitu fulani.

Lakini in returns sasa wananifanyia ndivyo sivyo, huwa napatwa hasira weee nachukia ila baada ya muda nasahau na kuendelea vivyo vivyo....

Unaweza kuwa na shida ukamfata mpenzi, mshikaji / shost kumueleza lakini akadai yuko busy au hana pesa labda, ilhali unafahamu kabisa ana uwezo wa kukusaidia. Mtu huyo huyo hapo baadae anakufata umsaidie wakati yeye huwa hakusaidii ukiwa na shida.

Nifanyeje niiache hii tabia, make inanicost ila nimekuwa kichwa ngumu kuishinda!

Wasalaam

CL

Ndo ulivyoumbwa binamu hata usijaribu kuishi maisha ambayo hayakupi amani, kama mtu ana shida na moyo wako uko radhi kumsaidia kwa nini usimsaidie kama tatizo liko ndani ya uwezo wako?

We jiachie tu binamu kwa raha zako kwan inahuu, wakupishe, halafu mwenzio nina shida ngoja nikifuate pm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom