Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,659
- 20,994
Nawezaje kubadili simu yangu bila kuathiri data zangu zote za WhatsApp na vyote toka simu ya awali?
What can I do?
Help?
What can I do?
Help?
You definitely can't. Thus, do nothing.What can I do?
Help?
Sasa simu za memory card ni adimu siku hizi. Mimi nimestack na simu natamani kibadili toka mwez wa kwanza ila machelea kupoteza account yangu ya paypal, safaricom kwa sababu nmepoteza line ya safaricom toka mwaka jana hivyo miamala mpaka sasa naifanya via application tu chip sina na siwez irenew kwasababu haikuwa na jina lamguKama ni mtumiaji wa android na simu yako ina memory card au una computer tafuta application inaitwa super backup utaweza kuhamisha kila kitu kwenye...
tumia option ya pc as long as ni android ila kwa iphone wajuzi watakujaSasa simu za memory card ni adimu siku hizi. Mimi nimestack na simu natamani kibadili toka mwez wa kwanza ila machelea kupoteza account yangu ya paypal, safaricom kwa sababu nmepoteza line ya safaricom toka mwaka jana hivyo miamala mpaka sasa naifanya via application tu chip sina na siwez irenew kwasababu haikuwa na jina lamgu
Ya ni android mkuu. So ina maana sitakuwa na haja ya kuanza kusign in kwenye hizo qpp?tumia option ya pc as long as ni android ila kwa iphone wajuzi watakuja
Ya ni android mkuu. So ina maana sitakuwa na haja ya kuanza kusign in kwenye hizo qpp?
Mimi nataka nihamishe apps ya paypal na safaricom isiniombe kusign in kwenye simu mpya maana itanituma codes kwenye safaricom na line sina na app ya safaricom itahitaji pia niweke line kwenye simu ili kusign in tena na hyo lone sina nmekuwa nikitumia via app toka mwaka jana mwez 8 nlipopoteza line
Ni lazima utumie hiyo account? Huwezi kutengeneza nyingine?Mimi nataka nihamishe apps ya paypal na safaricom isiniombe kusign in kwenye simu mpya maana itanituma codes kwenye safaricom na line sina na app ya safaricom itahitaji pia niweke line kwenye simu ili kusign in tena na hyo lone sina nmekuwa nikitumia via app toka mwaka jana mwez 8 nlipopoteza line
Kusajili line ya safaricom inatakiwa uwe na kitambulisho kipi cha tz?Ni lazima utumie hiyo account? Huwezi kutengeneza nyingine?
Kama ni ishu za kupokea, funga safari nenda boarder ya Kenya iliyo karibu nawe. Namanga, Holili au kule Sirari. Sajili line ya SafariCom na kisha fungua akaunti mpya baada ya kuhamisha fedha zote zilizopo.
Paypal hawajakufanyia Verification? Maana huwa wana nongwa sana katika uhakiki.
Akaunti yangu iko verified na nmeiunga mahali mbalimbali. Natafta jinsi ya kuepuka hilo la kufunga safari. Nnaitumia since 2021Ni lazima utumie hiyo account? Huwezi kutengeneza nyingine?
Kama ni ishu za kupokea, funga safari nenda boarder ya Kenya iliyo karibu nawe. Namanga, Holili au kule Sirari. Sajili line ya SafariCom na kisha fungua akaunti mpya baada ya kuhamisha fedha zote zilizopo.
Paypal hawajakufanyia Verification? Maana huwa wana nongwa sana katika uhakiki.
Huna namna. Itakupasa uitumie tu kwa sasa.Akaunti yangu iko verified na nmeiunga mahali mbalimbali. Natafta jinsi ya kuepuka hilo la kufunga safari. Nnaitumia since 2021
Nmepoteza line nlinunua line nikaitumia ifungulia hiyo akaunti halafu kwa sababu line mara nyingi sikuwa naitumia hivyo nikaweka app ya safaricom so nikawa naweza tumia safaricom mpeaa bila line kuwa hewan. Sa line ikapotea toka mwaka jana mwez wa nane hadi sasa naendeleza transaction ila nataka kubadili simu nachelea hiloHuna namna. Itakupasa uitumie tu kwa sasa.
Lazima utakuwa unafahamiana na mwenye namba husika. Kwa nini usiwasiliane nayo afanye mpango wa kuihuisha namba husika? Muombe akarenew.
Ukiepuka safar ya kwenda kurenew line or kusajili line mpya kuna siku utalia either kwa kupoteza sim au hyo android version kuwa outdated.Akaunti yangu iko verified na nmeiunga mahali mbalimbali. Natafta jinsi ya kuepuka hilo la kufunga safari. Nnaitumia since 2021
Kurenew line siwez maana nilinunua tu kwa wanaouza kine hata hiyo akaunti ya payapal haiko kwa jina langu iko katika jina lililosajiliwa kwa lineUkiepuka safar ya kwenda kurenew line or kusajili line mpya kuna siku utalia either kwa kupoteza sim au hyo android version kuwa outdated.
Chagua kwenda kusajili line yako kwa jina lako mwenyewe .
PayPal unapobadili device lazima ufanye ku log in.Nmepoteza line nlinunua line nikaitumia ifungulia hiyo akaunti halafu kwa sababu line mara nyingi sikuwa naitumia hivyo nikaweka app ya safaricom so nikawa naweza tumia safaricom mpeaa bila line kuwa hewan. Sa line ikapotea toka mwaka jana mwez wa nane hadi sasa naendeleza transaction ila nataka kubadili simu nachelea hilo
Yes mkuu hilo nalijua ndio maana nikawa nauliza kama hiyo njia yake ya super app inaweza kuwork. Halafu hapa shida zaidi sio paypal shida ni safaricom maana kama paypal naweza nunua line nyingine ya safaricom nikabadili namba ya 2F na kuweka namba mpya ya safaricom ikiwa ina maana sitoweza tena kuwithdraw kwa njia ya safaricom bali bank tu. Hilo si shida ila shida yangu kubwa na app ya safaricom ikiendelea soma bila kutaka login. But anyway it seems ni impossible ntafanya kununua tu line nyinginePayPal unapobadili device lazima ufanye ku log in.
Kuwa salama fanya nilivyokuelekeza komenti ya juu
Mimi nataka nihamishe apps ya paypal na safaricom isiniombe kusign in kwenye simu mpya maana itanituma codes kwenye safaricom na line sina na app ya safaricom itahitaji pia niweke line kwenye simu ili kusign in tena na hyo lone sina nmekuwa nikitumia via app toka mwaka jana mwez 8 nlipopoteza line