Nawezaje ku-quote post zaidi ya moja Hapa JF?

Nawezaje ku-quote post zaidi ya moja Hapa JF?

VANCOUVER

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2014
Posts
336
Reaction score
20
Wakuu natumai mu wazima wa afya kabisa. Naomba kueleweshwa namna ya kukoti post zaidi ya moja na kumention majina kwa kutumia kompyuta.

Kwa yeyote anayejua ashee na mimi maujuzi hayo.
 
ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@
 
Last edited by a moderator:
ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@
Honger kwa maelez mazur mkuu,,,yaan nimekosa hata cha kuongezea.
 
Wakuu natumai mu wazima wa afya kabisa. Naomba kueleweshwa namna ya kukoti post zaidi ya moja na kumention majina kwa kutumia kompyuta.

Kwa yeyote anayejua ashee na mimi maujuzi hayo.

ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@


Maelezzo ya huyu mdau yanatosha ila Picha huongea zaidi ya maneno hizo alama anazo zisema na ukisha zibonyeza zitawekewa alama ya Tick
 

Attachments

  • multi.PNG
    multi.PNG
    24 KB · Views: 367
ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@

asante sana Zamaulid kwa maunjanja
 
Last edited by a moderator:
Honger kwa maelez mazur mkuu,,,yaan nimekosa hata cha kuongezea.

Maelezzo ya huyu mdau yanatosha ila Picha huongea zaidi ya maneno hizo alama anazo zisema na ukisha zibonyeza zitawekewa alama ya Tick

ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@

asante sana Zamaulid kwa maunjanja

Mfano nifah@

Ahsanteni sana wakuu kwa msaada wenu.
 
Samahani mkuu, je kwakutumia simu.?

Mkuu NYEHUNGE hapa nilipo natumia simu na kwa kufuata maelekezo ya hapo juu kila kitu kinafanyika hivyo hivyo...lkn nadhan inabidi uwe unatumia jamiiforums app
 
Last edited by a moderator:
ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@

Maelezzo ya huyu mdau yanatosha ila Picha huongea zaidi ya maneno hizo alama anazo zisema na ukisha zibonyeza zitawekewa alama ya Tick

Select comments mbili au zaidi unazotaka ku quote
Kisha juu kushoto kwako utaona 2selected afu kulia kwako kuna ki button cha quote utabonyeza hicho utatoa mchango wako
Angalia picha

Nimejifunza kitu pia thanx
 
Mkuu NYEHUNGE hapa nilipo natumia simu na kwa kufuata maelekezo ya hapo juu kila kitu kinafanyika hivyo hivyo...lkn nadhan inabidi uwe unatumia jamiiforums app

Ok, ndo maana nilikua naangalia hivyo vitu sivioni. Mimi situmii hiyo Jamiiforums app, hua natumia tu opera mini kuingia humu.Je, kwa kutumia njia hii naweza kufanyaje.?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom