Nawezaje ku-quote post zaidi ya moja Hapa JF?

Nawezaje ku-quote post zaidi ya moja Hapa JF?

Last edited by a moderator:
ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@

je kuquote zaid ya post moja kwa kutumia simu inakuaje?
 
Last edited by a moderator:
Samahani icho kialama cha + unapotaka kuquote post zaidi ya moja mbona sikioni mkuu nami natumia Jf App!!!!!!!
 
Mi naomba kujuzwa mfano unataka kuweka link ya topic flan ya humu humu jf ili watu waisome inakuaje kwenye simu
 
Samahani icho kialama cha + unapotaka kuquote post zaidi ya moja mbona sikioni mkuu nami natumia Jf App!!!!!!!
Soma post yangu ya juu hapo [emoji115] nimeelezea ku multi quote kwenye JF app
hicho kialama cha + kipo kwenye desktop version
 
Soma post yangu ya juu hapo [emoji115] nimeelezea ku multi quote kwenye JF app
hicho kialama cha + kipo kwenye desktop version

Mi naomba kujuzwa mfano unataka kuweka link ya topic flan ya humu humu jf ili watu waisome inakuaje kwenye simu

Kwa windows 7 nenda kwenye start button afu search "Snipping tool"
Au windows 8 Fungua Charms window afu kwenye search tafuta hilo neno

Au install third party application kama snagit etc

Ahsante sana mkuu nimeweza njunwa wamavoko
 
Last edited by a moderator:
Nimepata elimu sana kupitia hapa asanteni wataalamu.
 
Mi naomba kujuzwa mfano unataka kuweka link ya topic flan ya humu humu jf ili watu waisome inakuaje kwenye simu
Fungua topic unayotaka kisha minya MENU button kuna ki windows kitafunguka kina Copy url
Angalia hii picha chini
6125446f7802e09faa539b9679ff9ca7.jpg
 
Kwa windows 7 nenda kwenye start button afu search "Snipping tool"
Au windows 8 Fungua Charms window afu kwenye search tafuta hilo neno

Au install third party application kama snagit etc

Thanx mkuu, umetiisha
Alafu hii screen shot ya simu nayo kama inazingua sana hii ya vol key+power button sass sijui kuna alternative yake
 
Thanx mkuu, umetiisha
Alafu hii screen shot ya simu nayo kama inazingua sana hii ya vol key+power button sass sijui kuna alternative yake
Mm naona hiyo ndo poa zaidi ila kuna third party apps pia sijui kama zinakubali kwenye unrooted phone...Mara ya mwisho nilizitumia kwenye Android 2.3.5 zilikua zinaitaji root access
Ingia Play store search "screenshot ultimate"
 
Back
Top Bottom