Nawezaje ku-quote post zaidi ya moja Hapa JF?

Nawezaje ku-quote post zaidi ya moja Hapa JF?

najaribu wakuu na mimi nione kama naweza
Wakuu natumai mu wazima wa afya kabisa. Naomba kueleweshwa namna ya kukoti post zaidi ya moja na kumention majina kwa kutumia kompyuta.

Kwa yeyote anayejua ashee na mimi maujuzi hayo.

ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@

Honger kwa maelez mazur mkuu,,,yaan nimekosa hata cha kuongezea.
 
asante sana Zamaulid kwa maunjanja

ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@

Wakuu natumai mu wazima wa afya kabisa. Naomba kueleweshwa namna ya kukoti post zaidi ya moja na kumention majina kwa kutumia kompyuta.

Kwa yeyote anayejua ashee na mimi maujuzi hayo.

Hapo unasemaje Zamaulid , iko poa kabisa
 
Last edited by a moderator:
Honger kwa maelez mazur mkuu,,,yaan nimekosa hata cha kuongezea.

ku-quote zaidi ya moja...hapo unapoweza ku-reply by quote kulia kwake kuna ki alama kinaambatana na + basi click hicho kwenye post unazotaka kuquote zote...ya mwisho una click reply with quote then mambo yanakuwa mwake mwake baba'ke!kuhusu kumention majina una acha space then unclick @ ambayo utaiunganisha na jina mfano Zamaulid mbele ya zamaulid kuna@
One two On two microphone test, sijui nimeweza?
 
Back
Top Bottom