Gonzalo Miguel
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 837
- 622
¡Era hizi!
Sio wote then inategemea how.... Ukweli ni kwamba huwa mnafarijika sana kutumia pesa zetu hata kama mnazo za kwenu huu ndiyo ukweli,
Yani mwanamke aje kwako atafute mapenzi tu kwa kuwa ana zake, nakupa mwezi tu mzee babasi kweli mkuu endelea na hiyo research yako kuna wanawake wanajiweza kiuchumi wanatafuta mapenzi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 chaliifranciscoNa babe nahisi wamfahamu
sio hivyo tu ata gemu hapewi Wanawak wenye mapenzi ya kweli wameshawahiwaMkuu tafuta pesa watakuja wenyewe.
Otherwise uwe na mapenzi ya kimaskini (kupiga simu na chat za mara kwa mara na wewe ndio unaanzisha) na uvumilivu wa kutosha
sio hivyo tu ata gemu hapewi Wanawak wenye mapenzi ya kweli wameshawahiwa
Umemaliza!!Sio wote bwana tunapenda pesa wengine tunapenda mapenziwoiiii tupendwe na tupende hela tunatafuta wenyewe.
Aiseee tena mm huwa nawakubali sana Wanawake asilia ktk uzuri wala siyo hao wa kidigitali ambao hujiweka km midoli.shida wanaume wa jf wengi wao wanahangaika na kuku wa kienyeji lazima mpigwe za mbavu. ebu mjichanganye na wanawake wanaojielewa kidogo khaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiulize na ujijibu kati ya mapenzi na pesa kipi kilitangulia kuzaliwa na Watu waliishije kabla ya kimojawapo kuwepo?Nikweli sikuhizi ukiwa haunakitu mapenzi utaya sikia kwenye bomba? Na mwanamke ukimnyima pessa Nikama umempa talaka?
Sent using Jamii Forums mobile app