Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
najua tupo kwenye msiba lakini naomba kujua kama naweza kujua elimu au uwezo wa member kwa kusoma post au comment zake'
Nauliza kwa sababu mbili'moja kuna watu humu ndani nitawataja kama nikiruhusiwa'ningependa kuwajua elimu zao'pili mimi ni mgeni nataka nijipange kabla sijajulikana udhaifu wangu'asanteni!
Nauliza kwa sababu mbili'moja kuna watu humu ndani nitawataja kama nikiruhusiwa'ningependa kuwajua elimu zao'pili mimi ni mgeni nataka nijipange kabla sijajulikana udhaifu wangu'asanteni!