Naweza kabisa kuituliza Zanzibar

Naweza kabisa kuituliza Zanzibar

J.K.Rayhope

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2011
Posts
316
Reaction score
31
Wanajamvi kuna yeyote kati yenu anaefurahia yanayoendelea Zanzibar?Kama hatua zenye busara hazitachukuliwa,kisiwa hiki kitapoteza hadhi yake kabisa.Nilichobaini wapo watu wachache sana wanye kuitakia mabaya Zanzibar,kwa busara na hekima niliyojaaliwa toka kwa Mungu,naamini kabisa nikitua pale naweza kutatua mgogoro wa uliopo ZANZIBAR.Nahitaji tu mamlaka tu kutoka ngazi zinazoweza kunipa nguvu si ya fedha wala ulinzi.Sitanii,Wakuu wa nchi na mawaziri wenye dhamana na wadau wengine,tushirikiane tumalize tatizo.Dawa ya tatizo ni kulitafutia ufumbuzi.Wanajanvi wote naomba pia mchango wa maboresho wa namna ya kutatua mgogoro uliopo,ili pale pawe na amani na uhuru wa kutosha.Naomba kuwasilisha.
 
ccm zanzibar wanahisi marekebisho yoyote ya muungano wataondoka madarakani kwa hivyo fanya liwalo torosha amaniii
 
Wanaotaka Znz iingie katika malumbano wanajulikanwa ila ipo siku ukweli utajulikanwa tuuuuuuuuuuuuuuu
 
kwani kwnn wanaing'ang'ania c wawaachie nchi yao?ccm hamtakiwi kule hamuelewi
 
Tuliungana na Zanzibar kwa amani na tuiachie iende kwa amani.

Let Zanzibar Go.
 
Namshukuru manani leo ndio mara yangu ya kwanza kusoma comments za ma great thinker ambao hawaku base udini wala siasa wala kumponda mtu mungu akubarikini
 
America imeshatahadharisha wananchi wao, leo balozi zingine za ulaya pia
 
kwani kwnn wanaing'ang'ania c wawaachie nchi yao?ccm hamtakiwi kule hamuelewi

Wameshachoka hao inamaana nyie CCM hamuelewi?. hadi wanachoma majengo yenu!, wanaua askari wenu na kubwa zaidi ni kwamba wako tayari kwa lolote. Hii na dalili mbaya sana kwa uongozi wenu. Nimewasikia wanadai nchi yao au muungano wa mkataba, haya chagueni kimoja wapo ili muwape. Jk na Membe mkirudi toka Oman nawaomba nendeni zenji mkasaini pia muungano wa mkataba.
 
Wameshachoka hao inamaana nyie CCM hamuelewi?. hadi wanachoma majengo yenu!, wanaua askari wenu na kubwa zaidi ni kwamba wako tayari kwa lolote. Hii na dalili mbaya sana kwa uongozi wenu. Nimewasikia wanadai nchi yao au muungano wa mkataba, haya chagueni kimoja wapo ili muwape. Jk na Membe mkirudi toka Oman nawaomba nendeni zenji mkasaini pia muungano wa mkataba.

Wameishasign muungano wa mkataba na Quabooos...
 
Dawa ya kutuliza znz ni kuwateka wazee wa viongozi wote wa ccm akiwemo sheni, iddy seif, gharib bilali, na wengine mpk wakubli kuitangaza zn huru ndio tunawaachia wazee wao. Huu ndio mtindo wa movement4 change utakaotumika sasa.
 
tatizo la zanzibar ni CCM ... na CCM ndio wanaweza kulitatua hilo tatizo .. ni kiasi cha kukaa chini na kusikilizana
 
Wanajamvi kuna yeyote kati yenu anaefurahia yanayoendelea Zanzibar?Kama hatua zenye busara hazitachukuliwa,kisiwa hiki kitapoteza hadhi yake kabisa.Nilichobaini wapo watu wachache sana wanye kuitakia mabaya Zanzibar,kwa busara na hekima niliyojaaliwa toka kwa Mungu,naamini kabisa nikitua pale naweza kutatua mgogoro wa uliopo ZANZIBAR.Nahitaji tu mamlaka tu kutoka ngazi zinazoweza kunipa nguvu si ya fedha wala ulinzi.Sitanii,Wakuu wa nchi na mawaziri wenye dhamana na wadau wengine,tushirikiane tumalize tatizo.Dawa ya tatizo ni kulitafutia ufumbuzi.Wanajanvi wote naomba pia mchango wa maboresho wa namna ya kutatua mgogoro uliopo,ili pale pawe na amani na uhuru wa kutosha.Naomba kuwasilisha.

Ungesema nini kifanyike ili kuumaliza mgogoro na siyo kujifanya kuwa unaweza kusuluhisha
 
Ndugu zangu, tangu machafuko yaanza Zanzibar, Wazanzibari wengi tangu jana wanamiminika kwa wingi sana hapa Dar es Salaam. Nimekaa bandarini, meli zinazotoka Unguja zimejaa hadi pomoni, lakini zinazoenda hazina watu wengi. Naambiwa wanakimbia machafuko ya wana Uamsho. nadhani huu ni wakati mzuri wa kuwazuia kuingia huku Bara ili watambue thamani na lulu ya kuwapo Muungano. Tangu vurugu zianze, naambiwa Wazanzibari wengi sasa wanasema heri Muungano udumu milele.

Ushauri: Tuwazuie kuingia Bara ili walau waonje adha za kuuvunja Muungano. Wenzangu mnasemaje?
 
Back
Top Bottom