Naweza kabisa kuituliza Zanzibar

Zanzibar wana tatizo la kihistoria la kisiasa linalohusishwa na DINI!
Wanaamini serikali ya muungano ina "ukristo" ndani yake. Hao Uamsho ni remnants za mtizamo na nasaba za waarabu wa Oman. Hawataki kuusikia Muungano na pia hawaipendi CCM kwa sababu ya Muungano ambao wanaamini una ukristo ndani.
 
Inakuwaje suala la kupotea shekhe wao hasiri zinaishia kwenye kuchoma ofisi za ccm ,hapo moja kwa moja kuna jambo liko nyuma ya pazia..hiki kikundi cha uamsho ni jina tu laki lengo na madhumuni yake ni siasi .

Inasadikika kuwa uamsho ni tawi la CUF
 
Unajua kwa nini wanavamia ofisi za ccm? Sababu hao ccm wameshindwa kutenganisha utawala kati ya chama na serikali. Kwa taarifa yako order nyingi zinazotekelezwa hasa na jeshi la polisi zinatoka chamani. Wazanzibar wameliona hilo na wameanza ku act accordingly. Bara tumeliona pia lakini uoga wetu ndio unaotufanya tuwe mabwege. We unadhani haya mauaji ya raia yanayofanywa na polisi,pia watu kutekwa na kuadhibiwa hovyo amri zake zinatolewa na nani? Ni hao viongozi wa chama kwa kutumia kofia zao huko serikalini wakiamini wanalinda chama na maslahi yao.
 
Usifikiri kwamba ni kweli hao Wazanzibar wanamiminika kwenda bara kutafuta hifadhi kwa sababu ya machafuko kwao. La hasha, hao wanakwenda bara kuwachochea waislamu kesho waandamane baada ya sala ya Ijumaa. Pia lengo lao ni kuongozana nao kwenye maandamano hayo ili kuongeza nguvu. Huwa ni kawaida yao kufanya hivyo kila yanapotokea maandamano. Kama hamuamini fuatilieni nyendo zao mtakubaliana na mimi. Hata kesho kama wataandamana, kamateni watu wengi muwahoji mtakuta wengine ni wazanzibar.
 
Dawa ya wazanzibari ni kuwatoa wote. Waletwe huku bara na kpangwa kila mkoa wazanzibari 46,000. Wasikae kijiji kimoja wawili La! Kila kijiji mmoja tu anatosha. Kama ni mke basi aolewe alipo na kama ni mume aozwe alipofikia.Watolewe watu Bara wakijaze Z'bar na kundi jipya. Z'bar itabaki kuwa wilaya moja ya Bara na confyoo yote itakwisha. Muungano umedumu muda wa kutosha kama suruali sasa. Mbona hakuna anayesema wazeewetu walivaa ngozii na magome ya miti tudumishe milaaa. Tumechoka na kelele zao sasa. Tufike mahali zikomeshwe mara moja na mwisho kabisa.
long live JAMII FORUMS! umenifanya nicheke kwa sauti job kwangu, lol!
 
lakinikwa upande mwingine naweza kubaliana nanyi kuwa udini upo tena sana... maeno ninayo ishii ni pure waislam na naona jinsi wanavyoishi ...na ukweli uko wazi udini huu unaaza kwa vijana wadogo kwani wanafundishwa chuki zidi ya ukristo... kwa zanzibari yote yapo udini na siasa na yote yanakwenda pamoja.. mtazamo wangu waislam tufundishe watoto wetu waijue dini na sio kuwachukia dini nyingine tunakuwa hatujengi hata kidogo..kweli leo hata hujui sababu za msingi za kupotea shekhe wenu bila kukaa chini kufikiri unakimbilia choma ofisi,kuiba madukani na kuua askari ambaye alikuwa anatoka lindo ucku... na haya yote yanadanya dini ya kiislam ionekane sio dini ila dini ya visasi na vurugu tu.
 
asilimia kubwa ni dini maana namna dini ilivyowakaa mioyoni mwao ndiyo inapelekea kuyafanya haya tunayozidi kuyasikia na kuyaona.
Taifa linazidi kuzama.Waombaji wasiposimama imara nchi yetu itayumba kwani vyombo vya ulinzi vya kibinadamu kimeshaprove kushindwa kudhibiti wenye mawazo ya uuaji na uharibifu wa mali za watanzania

...kaka...hawa wazanzibar hawana tatizo la dini hata kidogo...wanaijua kimakwelikweli(kiumoja wao)....siasa ni tatizo lao...dini(uislamu)inatumika tu hapo...unachokiona hapo ni "dini ya siasa" ...na ndio tatizo...siasa ya kiislam si tatizo hata kidogo....haijawahi kuleta mtafaruku popote pale...lkn ni dini ya siasa ndio yenye kuleta matatizo...somalia, iraq,uganda(ukiristu wa josefu kony)....kama una spirit ya "peace & love", wakumbuke ndugu/jirani zako wa zanzibar unapofanya maombi yako kwa "the most high..."!!!
 
tatizo la zanzibar ni viongozi wa ccm kukhofia mageuzi juu ya muungano kwa maslahi binafsi ya kujuwa kuwa muungano ukivunjika utawala wa ccm zanzibar umekwisha sasa linda muungano kwa maslahi ya wachache,time wl tel ussssssssssssssssss
 
teh teh teh kakimbia vurugu zanzibar kaenda kwa mjomba wake Mbagala daslam!!
 
Umembeba nani wewe mngese umembeba mkeo na familia yako! Aina ya watu wenye upeo mdogo kama wewe ndio mtachelewesha ukombozi wa nchi hii...nakubaliana na atakeamua kukuchinja wewe ****, think critically, haya maneno yanayotoka nadhani sehemu yako ya kunyea ndio yanatugawa na kufanya hao magamba wanaochochea hizi vurugu wafurahi na kwa hivi watashinda kirahisi 2015.Halafu ukikaa chini unaona eti CDM itachukua nchi 2015 my ass!!
QUIZ jaza nafasi ziliwazi kwa kiswahili fasaha mngese ........................

sehemu yako ya kunyea.......................................

**** ................................................

my ass ..........................................
 
tatizo si Udini huo Udini unatumiwa kama sababu ya kuwapata watu tatizo wanataka utawala uwe wa wapemba yani wenye asili ya kiarabu kidogo ingwa wakienda Arabuni wanaitwa waswahili huku wao wakijiita warabu hawataki kutawaliwa na Muunguja wala mbara yule Shein hana roho ya kipemba anaroho ya Kiunguja na kibara walitaka mseto wakapewa serikali ya mseto sasa wanataka kukabidhiwa nchi ndo machafuko yanayofanywa na Uhamsho na kupewa sapot na baadh ya viongoz wa SMZ lakin wanajua kuvunjika Muungano ni ngumu ndomana wameganyka katka makundo tofaut wapo wanaotaka mfumo wa sasa wa muungano ila mambo flan yarekebishwe na wapo wanaotaka serikali 3 na wapo wanaotaka wa mkataba yani kuwe na Tanganyika na Zanzibar kuwe na mkataba wa kushirikiana vitu flan wasiotaka kabsa muungano ni wachache....Uhamsho walfanya tadhimin wakalijua hilo ndomana sasa wanakuja na style hii sababu kila wanapoga kura za tasmin wakpga watu 400 basi 250 wanataka na 150 hawataki...na kuwa hawataki imegawanyika hawataki mfumo wa sasa wanataka serikali 3 na watu wa Unguja ndo wanautaka muungano zaidi...hayo Udinini kisingizio hivi ni Vita vya kisiasa
 
Ungesema nini kifanyike ili kuumaliza mgogoro na siyo kujifanya kuwa unaweza kusuluhisha

Si kila kitu chafaa kuandika humu,nimeomba kwako maboresho ambayo yataambatana na mawazo yangu na namna ninavyotaka kufanya.Sasa nikiandika humu kuna haja gani ya kuomba ruhusa kwa mamlaka za serikali?
 
Wanajamvi kuna yeyote kati yenu anaefurahia yanayoendelea Zanzibar?Kama hatua zenye busara hazitachukuliwa,kisiwa hiki kitapoteza hadhi yake kabisa.Nilichobaini wapo watu wachache sana wanye kuitakia mabaya Zanzibar,kwa busara na hekima niliyojaaliwa toka kwa Mungu,naamini kabisa nikitua pale naweza kutatua mgogoro wa uliopo ZANZIBAR.Nahitaji tu mamlaka tu kutoka ngazi zinazoweza kunipa nguvu si ya fedha wala ulinzi.Sitanii,Wakuu wa nchi na mawaziri wenye dhamana na wadau wengine,tushirikiane tumalize tatizo.Dawa ya tatizo ni kulitafutia ufumbuzi.Wanajanvi wote naomba pia mchango wa maboresho wa namna ya kutatua mgogoro uliopo,ili pale pawe na amani na uhuru wa kutosha.Naomba kuwasilisha.
Katiba ya chama ina nguvu kuliko ya katiba,ccm zanzibar wafanya wafanyalo kulinda muungano,kuwasambaratisha ambao wanapinga muungano kwa maslahi yao binafsi,haliyakuwa wananchi hawakubaliani na mfumo huu wa muungano.

Wewe utamaliza vipi huu mgogoro uliopo zanzibar ?

Kumaliza mgogoro wa zanzibar JWTZ kuwacha unyanyasaji juu ya wananchi wa zanzibar,kuwapa uhuru ambao munao ita wa democrasia,Kumwachia huru shekh wa jumuiya ya kislamu huko zanzibar haraka iwezekanavyo.

Hasara ambazo zitakazo wakabili wanannchi na taifa kwa ujuma.

Serikali imekuwa ni chochozi juuu ha haya,hasara inakuja katika kubabuana na kidini,na kiitikadi,na wapi unatoka,haya ndio sasa yanatuathiri,kama utakuwa mtanganyika zanzibar basi utakuwa ni adui wa wanzanzibari,kwa vile JWTZ ambalo linawanyanyasa wazanzibari,kwa vile wengi wa JWTZ asilimia 99 ni watanganyika,hii ndio inayowatoa imani wazanzibari kwa watanganyika.

Lakini suala la udini,hili haliusiani na wazanzibari,kwani hao wakiristo huko zanzibar ,wako kabla kabla ya mapinduzi,na tunaishi nao kwa amani na upendo,sikubalini na hoja yoyote kuhusu udini zanzibar,mimi ni mzanzibari halisi.
 
Wameshachoka hao inamaana nyie CCM hamuelewi?. hadi wanachoma majengo yenu!, wanaua askari wenu na kubwa zaidi ni kwamba wako tayari kwa lolote. Hii na dalili mbaya sana kwa uongozi wenu. Nimewasikia wanadai nchi yao au muungano wa mkataba, haya chagueni kimoja wapo ili muwape. Jk na Membe mkirudi toka Oman nawaomba nendeni zenji mkasaini pia muungano wa mkataba.

hakuna cha muungano wa mkataba tuwaache waende zao,kwani hatuwezi kuishi bila wao??
CCM wapeni nchi yao hawa jamaa..msingoje mpaka tuzike mamia.
 
Serikali isipuuze haya

QUOTE=Magurudumu;4849903]Usifikiri kwamba ni kweli hao Wazanzibar wanamiminika kwenda bara kutafuta hifadhi kwa sababu ya machafuko kwao. La hasha, hao wanakwenda bara kuwachochea waislamu kesho waandamane baada ya sala ya Ijumaa. Pia lengo lao ni kuongozana nao kwenye maandamano hayo ili kuongeza nguvu. Huwa ni kawaida yao kufanya hivyo kila yanapotokea maandamano. Kama hamuamini fuatilieni nyendo zao mtakubaliana na mimi. Hata kesho kama wataandamana, kamateni watu wengi muwahoji mtakuta wengine ni wazanzibar.[/QUOTE]
 
Back
Top Bottom