Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
Zanzibar wana tatizo la kihistoria la kisiasa linalohusishwa na DINI!
Wanaamini serikali ya muungano ina "ukristo" ndani yake. Hao Uamsho ni remnants za mtizamo na nasaba za waarabu wa Oman. Hawataki kuusikia Muungano na pia hawaipendi CCM kwa sababu ya Muungano ambao wanaamini una ukristo ndani.
Wanaamini serikali ya muungano ina "ukristo" ndani yake. Hao Uamsho ni remnants za mtizamo na nasaba za waarabu wa Oman. Hawataki kuusikia Muungano na pia hawaipendi CCM kwa sababu ya Muungano ambao wanaamini una ukristo ndani.