sijasema wasukuma wote wanajua kupenda na wala sijasema makabila mengine hawajui kupenda
haya twende sasa: hujasema wasukuma wote wanajua kupenda: point "baadhi ya wasukuma wanajua kupenda na baadhi hawajui"
hujasema makabila mengine hawajui kupenda: point: "makabila mengine wapo wanaojua kupenda na wapo wasiojua kupenda"
General summary: "katika wasukuma kama yalivyo makabila mengine, kuna wanaojua kupenda na kuna wasiojua kupenda" is that what you meant to say, luv?