Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,441
- 166,938
- Thread starter
- #21
Wanawake wemeru ni noma korofi jeuri wanaume siyo wabaya
Wanarusha visu hao usiombee
Wanawake wemeru ni noma korofi jeuri wanaume siyo wabaya
Ni mabonge hao.........huyo atakuwa mama mwakipesile
wa pale mwanjelwa
Ni mabonge hao.........huyo atakuwa mama mwakipesile
wa pale mwanjelwa
Mbona umeficha miguu yao?
wazuri aisee, ila ingependeza ungetuonesha miguu yao pia... au ndo vile wanatembelea mikonoCHezea Meru Women!
![]()
Kuna jamaa wangu aliniambia eti inasemekana mkoa wa mbeya unaongoza kwa wanaume wenye mikono ya sweta (no offense) sasa yeye kuna kipindi alienda kule kwa shughuli zake za kibiashara basi akapata mwanamke wa kinyakyusa. Siku wamepeana mihadi fresh wakaenda kujamiiana ile kumaliza tu, yule mwanamke wa kinyakyusa akasema," mweh?? Kumbe fyakumenya fitamu kuliko fyamaganda?"