Heaven on Earth
Platinum Member
- Mar 21, 2013
- 37,233
- 26,753
Umemfananisha! Huyo anaotwa Ngasimenye wa pale Kiwira
hahaaaaaaaaaa basi duniani wawli wawili............
Umemfananisha! Huyo anaotwa Ngasimenye wa pale Kiwira
Akiwa wife huyo, nitajitahidi kuepuka ugomvi nae kwa gharama yoyote. Kabali yake unachungulia kaburi.
Mtu kwao bana.
Mi nawapenda sana wanawake waMeru!
Wanabebeka!:A S 39:
Wanabebeka!:A S 39:
nawapenda wapare maana huku upareni kwetu sisi wanawake wa kipare tu wema sana ana wakarimu mno
Hapo umedanganya wameru hakuna mwenye hips wala meno meupe.
meno yao, huogopi?Mtu kwao bana.
Mi nawapenda sana wanawake waMeru!