😀😀😀Haya weka namba'ako ya simu, taja ni mtandao gani. Nikutumie muamala
Me au Ke?shkamooni, kaka na dada wa Jamiiforums.
Mimi member mpya JF nipokeeni, nawapenda woote.
Nakazia hapo kama ni ke naruka nayeMe au Ke?
Karibu sana, kama ni msichana kuwa makini na wanaume wa humu!shkamooni, kaka na dada wa Jamiiforums.
Mimi member mpya JF nipokeeni, nawapenda woote.
umetumia miguvu mingi mno kushauri, wakati unawezakuta huyu ni mgeni mwenyeji, na hii ni backup ID yake ya sita.Karibu sana, kama ni msichana kuwa makini na wanaume wa humu!
Wengine wakipita na wewe watakuja kukuanzishia nyuzi na kuweka tupu zako humu (imeshatokea kipindi cha nyuma)
Wastaarabu wapo pia, ila kuwa na tahadhari!
View attachment 3579342
for real I'm a candidate, pia natumia browser kulog in JF inafail ku upload any file !Tupia kapicha kamoja tuone kama Elleanor tunaye mkaribisha anaendana na urembo wa jina lake.!
Jinsia gani wewe.for real I'm a candidate, pia natumia browser kulog in JF inafail ku upload any file !
KeJinsia gani wewe.
Haya karibu sana.
marahabaaa mdogo wetushkamooni, kaka na dada wa Jamiiforums.
Mimi member mpya JF nipokeeni, nawapenda woote.
mbona watusagia kunguni kabla ya kumpitiaaa na weweee. 😎😎Karibu sana, kama ni msichana kuwa makini na wanaume wa humu!
Wengine wakipita na wewe watakuja kukuanzishia nyuzi na kuweka tupu zako humu (imeshatokea kipindi cha nyuma)
Wastaarabu wapo pia, ila kuwa na tahadhari!
View attachment 3579342
AsantHaya karibu sana.
age yako please?shkamooni, kaka na dada wa Jamiiforums.
Mimi member mpya JF nipokeeni, nawapenda woote.