Nawakumbusha Halima Mdee na wenzake 18 muda wa kukata rufaa kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA unayoyoma!

Sina Hofu Wala Wasi Wasi Kuhusu Kiongozi Wa Wamama, Na Wenzake Wapo Salama
Ukiwa Ccm Nani Aseme Nini Ili Iweje? Halima Tulia Ccm Kule Ni Kivulini Utapata Yote Utakayo
 
Chadema ni ya wote!
Ya mashoga (marafiki) wote. Mdee na Bulaya hawawezi kufuzwa chadema kwa sababu ni mashoga (marafikia) sana. Labda Matiko na wengineo kwani wao sijawasikia marafiki zao. Lakini Mdee na Bulaya thubutu. Wao ndiyo kielelezo halisi cha 1wapo ya sera za chadema
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Unaogopa watakuja kuchukua nafasi zenu huko nanyie muendelee kuimba pambio?

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Nyinyi mbona speaker wenu amesema ataendelea nao hats bila chama?
 
Ni pale chanjo ya covid 19 inapolazimishwa kuchanjwa kwa nguvu.

Wenyewe wameona hakuna umuhimu unateseka wewe kwann?
 
Siasa siyo uadui.

Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.

Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.

Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.

Tunakumbushana tu.

Maendeleo hayana vyama!
Wako bize kufuata nyayo za Askofu Rashidi kutengeneza video pendwa,wameona siasa imeshawatupa mkono wameamua kutumia vipaji vyao vingine maisha yasonge.
 
Wakina Halima kwa sasa ni kama ile stori ya mkono na Fisi....kuna anayetokwa mate akisubiri uanguke tu anyakue.
 
Back
Top Bottom