Rafiki, kiukweli mzigo Sina. Ila habari zimezagaa kila kona kuwa wamelishana vya sirini.Rafiki naomba collabo ya Matiko na Aeshii. Hv kumbe wana mahusiano. Nimekupm umefunga.
Rafiki, kiukweli mzigo Sina. Ila habari zimezagaa kila kona kuwa wamelishana vya sirini.Rafiki naomba collabo ya Matiko na Aeshii. Hv kumbe wana mahusiano. Nimekupm umefunga.
Duuuh nilishajua napata furaha ya macho...Matiko nae ana kahistoria.Rafiki, kiukweli mzigo Sina. Ila habari zimezagaa kila kona kuwa wamelishana vya sirini.
Unaambiwa kakata mauno siyo ya nchi hii.Duuuh nilishajua napata furaha ya macho...Matiko nae ana kahistoria.
Kazungusha kiuno kama feni,uongo mbaya anayaweza.Unaambiwa kakata mauno siyo ya nchi hii.
Due utaharibu Hali ya hewaEster Matiko ametoa collabo na Aeshi..
Ambao hamjaipata nifuate inbox niwapakulie mzigo kama wote.
Acha uzandiki, mbona boss wenu anaichukia sana?Chadema ni ya wote!
Yuko vizuri yule mmama. Anawazidi wadada kibao wa under 20.Kazungusha kiuno kama feni,uongo mbaya anayaweza.
Safari hii LAKUNDA HALINA UBANI.Siasa siyo uadui.
Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.
Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.
Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.
Tunakumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Ntumie mzigo huo mzeeNaomba nitumie PM.
@johnthebaptist kama wanaipenda CHADEMA watakata rufaa, lakini wakikaa kimya ujue upo upande waliochagua. Watakua wanasikiliza kwanza ushauri kutoka kwa aliyewaambia atawalinda kwa nguvu zote. Tuwape muda wachague lililo jema.Chadema ni ya wote!
Mie sina hata.Ntumie mzigo huo mzee
Wala hawana haraka wamehakikishiwa nafasi zao za ubunge na spika wa ccmSiasa siyo uadui.
Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.
Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.
Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.
Tunakumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!
Hayakuhusu. Mbona kiherehere hivyo? Kilikoni?Siasa siyo uadui.
Nakumbuka kamati kuu ya CHADEMA iliketi tarehe 27/11/2020 na kuwatimua chamani wanachama wake takribani 19 wote wakiwa ni akina mama.
Katiba ya Chadema inatoa muda wa siku 30 muathirika kukata rufaa endapo hajaridhika na maamuzi ya kamati kuu.
Leo ni tarehe 22/12/2020 hivyo muda unakwenda kasi sana.
Tunakumbushana tu.
Maendeleo hayana vyama!