PesaNdogo
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 1,994
- 1,293
Pole,but kama kwel unahitaji upate ufumbuzi ili isiwe tatizo kwako,jichunguze kwanza wewe mwenyew,kitaalamu tunasema tumia internal locus of control kwenye maisha na matatizo yako,tafuta namna mtu asipate wazo la kutoka nje ya mahusiano,kwan wao wana nn ambacho we huna? Kwann alianza nawe sasa yupo kule? Any way take it,mwanaume ni kama mtoto unapomzuia asichezee hiki hakikisha umempa mbadala wa kuchezea!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mbwa ni mbwa tu, huwezi kumzuia mbwa kuwaza mifupa! ! Kwa maana kwa mtu malaya ni hulka yake hata apewe nini atajifutia sababu ya kuchepuka.
Kosa ni kuwaona wanaume kwamba ni watu wa maana mno kuliko wewe mwenyewe. Jipende usimwache mtu akakufanyisha vitu ukavuka mipaka eti ili asichepuke.