sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 20,890
- 47,611
Unasemaje love? Hebu nifasirie
Some bady hacked my account...
Its expensive gift that deserve to only one....cute b
Unasemaje love? Hebu nifasirie
Teh teh kuna mtu alifanya hacking kwenye accout yangu...
Subiri akija umueleze mwenyewe, mie kazi yangu imeisha, na si unajua mie ni marufuku kuniita kwenye vikao vyenu vya usuluhishi? Mie mnipege taarifa tu.
Duuu hatariii nitarudia enzi za kuchepukaa
Tenaaa ashukuru Mungu nimeona asubuhi hii la sivyo jana usiku hata uchi asingepata...
Some bady hacked my account...
Its expensive gift that deserve to only one....cute b
Luv umeninukuu vibaya...
Yameisha mamii
Khaa!! Lakini unapata stahili zako sawasawa?? Maana hilo ndilo jambo la msingiinakuaje mwanaume unamuheshimu, unampenda,unamthamini unamjali na hajawahi kukuta na mwanaume tofauti wala sms kwenye cm yako lakin unakuja kugundua anakucheat i think kuna baathi ya wanaume wanamapepo ya ngono hawalizikagi jitu linaumri wa kufanya mandeleo lenyewe linapata mda wa kumtongoza mtu mxxuuii...jamn kuna wakati wanatulaum wanawake lakin jmn kuna wanaume vimeo cjawahi kuona duuh
kwani baada ya kugundua ame cheat umepungukiwa nn bibie,?
Acha maisha yaendelee tulisha ambiwa hapa na Life HACKER kulia lia uaminifu ni upuuzi
Hakuna mwanaume asiyechepuka.