Lakini sikuizi mambo ya kubambikia kesi hayapo tena. Mwenda zake kaondoka nayo kuzimu ana chomwa moto kwa kubambikia kesi watu, sasa hivi nchi imeponywa.Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.
Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.
Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.
Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu
Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
Pole lakini mahakimu wa mahakama za mwanzo na wilaya ni waovu kuliko polisi, wanapindisha sheria na hukumu kwa maslahi yao binafsi na kuumiza wasio na hatia. Mimi ni mmoja wa wahanga katika mahakama ya sinza na kinondoniKwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.
Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.
Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.
Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu
Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
Wanafanana wotePolisi akikufanyia ubaya mtoe kwenye mwavuli wa jeshi halafu mshughulikie kama yeye. Fatuma kama Fatuma na sio Fatuma kama askari polisi.
Kinyume na hapo hakuna tofauti na mwanamke anayesema wanaume wote ni mbwa kana kwamba amemwadhibu huyo mwanaume.
Halafu achana na upoyoyo wa kufikiri mwenye mawazo mbadala ni polisi au hajawahi kupambana na polisi.
Walikufanyaje mkuuWalichonifanyia kimebadili hatma ya ndoto zangu
Kweli una roho mbaya mkuu, hukumuonea huruma?lakini jamaa angenizunguka akaja kusema aliibiwa simu na hela ndo ningekuwa sio snitch sio, we unajua ni kwanini nilifika hatua hiyo?
Okey bossWanafanana wote
Sasa tunaanza kuelewana na wewe, kila mtu kwa wakati wake deal straight na cop anayenyanyasa haki zakoSiku tukiachana na tabia ya kutaka kufanyiwa mambo yetu na tukaamua kuyafanya wenyewe hili tatizo la polisi kunyanyasa litapungua.
Imagine kila mtu anayenyanyaswa angedili na polisi aliyemnyanyasa nje ya taasisi kwa namna anayojua yeye.
Deal straight na policeman anayechukua haki zako, sio Kuja kulalama humulicha ya hamza, wewe unashaurije mkuu?
Ndio boss. Mtu binafsi kupigana na taasisi nzima haiwezekani. Ila mtu binafsi kudeal na polisi aliyemnyanyasa hili linawezekana.Sasa tunaanza kuelewana na wewe, kila mtu kwa wakati wake deal straight na cop anayenyanyasa haki zako
siku ukijua kung'amua jambo kwa weledi nitakujibu kutokana na swali lako.Kweli una roho mbaya mkuu, hukumuonea huruma?
👍siku ukijua kung'amua jambo kwa weledi nitakujibu kutokana na swali lako.
Pole sana ndugu.Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.
Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.
Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.
Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu
Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
Polisi ni washenzi sana. Walisababisha mama wa rfk angu kufa kwa maumivu makali ya kipigoKwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.
Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.
Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.
Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu
Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
Waogope watu Mungu yupo mbàli.Manake??
#MaendeleoHayanaChama
Naye ndugu Yako alionekana nimtata Sana kurejesha Deni LA watu mtu anakudai wakat unaomba mikono ilikua nyuma kwa unyenyekevu Leo hela ya watu haurejeshi Si ujinga huoMkuu pole sana...
Unajua Polisi ni binadamu na wana udhaifu mkubwa hasa kwenye tamaa ya hela..
Mishahara yao ni midogo.. Angalia hata barabarani sehemu ya wazi lakini askari wanasimamisha gari kuomba hela kwa nguvu..
Ukiwa umepelekwa polisi huna kosa.. Jishushe.. Usijidai unajua sheria.. Maana wao wana namna ya kutengeneza kosa / ushahidi.. Sasa ukiwa mbishi wanapeleka ushahidi huo kwa hakimu na ukifanya masihara unakula mvua ya kutosha..
Kuna ndugu yetu alikuwa anadaiwa hela flani hataki kulipa.. Anayemdai akaenda polisi akawapa hela.. Jamaa akakamatwa.. Humo kituoni akajidai mimi sina kosa nipelekeni mahakamani... Sijui nina mwanasheria...
Jioni yupo kituoni anaona askari wanatoa silaha store kisha akashikishwa kwa nguvu mikononi..
Akaambiwa tunakupa ujambazi kwa kutumia silaha.. Na huwa ni miaka 30.. akaomba kuongea na ndugu.. tukajichanga Kwanza ili atoke.. Kisha tukajichanga kupunguza deni analodaiwa...
Ushauri kwa mazingira yetu yalivyo mabovu ya kubambikiana kesi.. Ni vizuri kuwa mpole.. Kutoa ushirikiano... Na ikibidi wape chochote polisi ili usiumie zaidi
wanasheria wenu wa iliyokuwa TLS juzi wamechambwa kwa kuegemea harakati na kuacha jukumu la msingi la taasisi husika,mambo kama haya yanatesa sana watu masikini,wasio na watu,wala ramank hapa nchini.
mimi nikushauri kama umeonewa na polisi na haki iko upande wako,nenda karoge,kafunge novena au kasone albadir,usimwache dhurumati akaishi.
ila hakikisha 100% hukuhusika na kosa,wala hujawahi dhurumu mtu maana yanaweza kukurudia tu.halafu usiwe kama mtoto wa kike kuita wanaume wote mbwa.
komaa sawa sawa na jamaa aliyekuingiza kwenye matatizo,huo ni upuuzi wake yeye.