Nawachukia sana Polisi

Nawachukia sana Polisi

Tuache ujinga wa kulilalamikia jeshi la polisi kwa ujumla wake, hii inasababisha polisi Juma, polisi Asha, Polisi joni asiwe na hofu ya kutenda uovu maana atabebwa na jina la polisi kama taasisi.

Jeshi la polisi lina miongozo ya utendaji na maadili hivyo ubaya haufanywi na taasisi ya jeshi la polisi, ubaya unafanywa na mtu aliyepewa dhamana ya kuwa polisi.

Ww kariri mtu wako aliyekufanyia ubaya. Dili naye maana haishi sayari tofauti. Ikiwezekana mada ziwe polisi mawazo ali mwenye namba xxxx ni mla ruhwa, mbambikia kesi n.k n.k huku ukisifia wale unaoona wana msaada.

Hawawezi kukujua kama ni tabia yao na pia kitendo cha kuwatenga na umoja wao wa jina "POLISI" kitawagawanya na kuwafanya wajihoji kabla ya kufanya ubaya. Ukumbuke, hata wao kwa wao huko ndani sio kwamba wanapendana sana, kama wakigawanywa na wao watatafunana tu.
Ni kweli kabisa,ndani ya Jeshi la Police kuna police wengine ni wazuri tu,na wako katika maadili yao ya kazi hata uumpe Nini atasimamia ukweli,hata Kama anajua mwenzake ndiyo kavurunda bado atabaki kwenye haki tu! Na ushahidi ninao pia!!
 
Mtegee Mungu * usilipe kosasi samehe na songa Mbele hakikisha hauifadhi chuki ndani ya *Moyo
 
Dawa ni kuwahepuka kwa kufanya yaliyo mema machoni na mafichoni mwa jamii.
Baadhi ya polisi wanalalamikiwa kwa kubambikia watu kesi, ni kwamba mtu hajafanya kosa lakini anatengenezewa koso, labda mkuu, hayajakukuta.
 
Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.

Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.

Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.

Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu

Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
Tena sitaki wala sitakuwa karibu kwa namna yoyote na mtu polisi wa TZ! No watu amba hata kuwa na jirani polisi ni mkosi.
 
Nlimuuzia jamaa tv(chogo) akakaa nayo mwezi ikamfia akaja nidai ninrudishie pesa nakachomoa...mzee ilikuja pira ya polisi mpaka geto....🤣🤣nkasombwa mpaka kituon nkapewa kesi ya uhujumu uchumi...eti nafanya biashara bila leseni kmmk 🤣🤣🤣2015
 
Nlikuwa nakula mbususu moja barmaid kumbe kuna poti naye anafkuzia...daah sku moja nko zangu bar napga knywaji akaja na wenzake wa 3🤣🤣wakanambia nko chini ya ulinz wakanisachi...jamaa likanchomekea kipisi cha bangi......tayar nkapewa kesi ya madawa ya kulevya kisa malaya wa bar 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nlikutana na poti mmoja bar akaniomba nimnunulie bia nkamkazia....ikapita wiki nkakutana nae road akanchapa faini ya kingese 🤣🤣🤣🤣polisi wote motoni aisee
 
Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.

Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.

Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.

Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu

Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
1669647342915.png
 
Kuna siku nilipata ajari ya barabaran ikinihusisha mimi na boda

Lakin ili tumalize hyo inshu kwenye kituo cha polisi pamoja na kumpigia shemeji yetu wa kike ndo mkuu wa kituo nikajua tutayamaliza fresh lakin bado pesa ilihusika pamoja na kumuita shemeji,hapo ndo niliamin hawa watu sio wa kawaida
Shemeji yako ndiyo aliamuwa kukupiga! Hahaha!!!
 
Polisi rushwa wanaona Kama haki yao,halafu hata wao kwa wao wanaombana rushwa!!Kile Kituo cha Police Central ni Kitivo Cha rushwa,mtu unashangaa hata Polisi Mkubwa tu anaomba rushwa!!

December 2021,niliingia kwenye anga zao,huku na huku wakanilaza Central aisee anakuja mkaguzi na Nyota zake anataka 10M kirahisi sana,eti anasema kwa ajili ya mkubwa,sikutoa hata Senti Moja ingawa nikamaliza wiki mbili pale na mpaka leo Kesi iliishia pale pale!!

Sasa,wakati niko mle nyavu,nilikutana na Askari 8 nao wamo nyavu mle mle ndani wakati huo wao wamemaliza siku 60!!,eee bwana ee bwana wale askari walinisimulia mkasa mzima,Kuwa na fedha zimeibiwa Makao Makuu ya Polisi ambapo 6 bilion zimepotea na Mhasibu Mkuu wa zile fedha ametoroshwa na Viongozi wakuu wa Jeshi la Polisi Makao Makuu!!,ili kuua sooo wakawakamata wahasibu wa Mikoa ya DSM na kuwaweka nyavu!! Mbaya zaidi aliyekuwa amewaweka hawa askari ndani naye alikuwa anawaambia hawa askari watafute Sh.200M ili awatoe!!, Sijui waliishia wapi wale askari,Maana mpaka mimi natoka walikuwa bado wako mle ndani!!,hawa askari taarifa zao za mahesabu zilikuwa Vizuri tu!!,Kuna mmoja alikuwa anatembea na dispatch ambayo ilikuwa inaonyesha jinsi fedha zilivyokuwa zinatolewa na kukabidhiwa kwa wahusika!!!

Mamlaka husika wasaidieni wale askari,Wana ushahidi wote!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom