Nawachukia sana Polisi

Nawachukia sana Polisi

Walinikamata wakanipeleka kituoni mfukoni nilikua na pesa kidogo sikukaa sana Kama nusu saa ndugu wakawa wamekuja kunitoa ....

Baada ya kutoka mali zote nilizokabidhi mapokezi ikiwemo simu, na vikorokoro vingine nilirudishiwa ishu ni kwenye hyo pesa wanatupiana mpira Mara anayo huyu anayo yule...

Nikasema siondoki hapa mpaka mnipe pesa yangu *****, wanaanza kunitisha Mara ooh muda huu defender la kwenda chang'ombe linapita litakuchukua,, nikawaambia hamna shida acha linipeleke.

Mzozo ukawa mkubwa mpaka mkuu wa kituo akasikia, akauliza shida nn? Nikamueleza akawaamuru kurudisha ile pesa. Wakajichanga changa wakanipa kumbe yalikua yameshagawana.

Nimetoka nakutana na huyo boya alienikamata(hakuwepo kipindi natolewa) ananiuliza "dogo wamechukua tsh. ngapi?" Nikamwambia 100k kumbe nimetoka kwa 20k akawapigia simu wenzake wanaanza kugombana eti ooh mnanizunguka mmemiambia imetoka 20k kumbe ni 100k..
Mi huyoo nikapita kushoto nikayaacha na laana zao...

Mama alisema ukiwa polisi ww si wa kwangu Tena Mara buku ukabebe zege.
 
Tuache ujinga wa kulilalamikia jeshi la polisi kwa ujumla wake, hii inasababisha polisi Juma, polisi Asha, Polisi joni asiwe na hofu ya kutenda uovu maana atabebwa na jina la polisi kama taasisi.

Jeshi la polisi lina miongozo ya utendaji na maadili hivyo ubaya haufanywi na taasisi ya jeshi la polisi, ubaya unafanywa na mtu aliyepewa dhamana ya kuwa polisi.

Ww kariri mtu wako aliyekufanyia ubaya. Dili naye maana haishi sayari tofauti. Ikiwezekana mada ziwe polisi mawazo ali mwenye namba xxxx ni mla ruhwa, mbambikia kesi n.k n.k huku ukisifia wale unaoona wana msaada.

Hawawezi kukujua kama ni tabia yao na pia kitendo cha kuwatenga na umoja wao wa jina "POLISI" kitawagawanya na kuwafanya wajihoji kabla ya kufanya ubaya. Ukumbuke, hata wao kwa wao huko ndani sio kwamba wanapendana sana, kama wakigawanywa na wao watatafunana tu.

Kwa hamza alifanya sahihii au we ni polisi. maana polisi akikufanyia huna sehemu yoyote ya kushtaki wala kumlipiza na ukilipiza kama hamza basi utakuwa muharifu hata kama haki unayo kujibu.

muda mwengine jitafakari na kunasiku watakupitia utakuja kufuta hayo unayoongea hapa
 
Wapo humu wengi tu, lakini tatizo ni mfumo wetu kuwa mbovu sana, sheria za hovyo. Kutuhumiwa sio shida ila tatizo ni upande wa waendesha mashitaka (serikali) kuokoteza ushahidi wanaweza kuchukua muda mrefu sana halafu dakika ya mwisho wanafuta kesi. #katibampya
Sema tena na tena ndugu. Tatizo siyo polisi. Tatizo ni mfumo. Tatizo ni CCM. Tatizo ni Samia. Bila kuondoa haya mambo ni suala la muda tu, kila mtu atalia kwa wakati wake. Sikiliza maelezo ya wale makada wa Chadema waliokuwa wamefungwa maisha halafu wakaachiwa ndiyo utajua kweli Tanzania ni kama jehanamu. Bila wananchi kuungana kwenye kuondoa huu mfumo hakuna mbadala.
 
Walinikamata wakanipeleka kituoni mfukoni nilikua na pesa kidogo sikukaa sana Kama nusu saa ndugu wakawa wamekuja kunitoa ....

Baada ya kutoka mali zote nilizokabidhi mapokezi ikiwemo simu, na vikorokoro vingine nilirudishiwa ishu ni kwenye hyo pesa wanatupiana mpira Mara anayo huyu anayo yule...

Nikasema siondoki hapa mpaka mnipe pesa yangu *****, wanaanza kunitisha Mara ooh muda huu defender la kwenda chang'ombe linapita litakuchukua,, nikawaambia hamna shida acha linipeleke.

Mzozo ukawa mkubwa mpaka mkuu wa kituo akasikia, akauliza shida nn? Nikamueleza akawaamuru kurudisha ile pesa. Wakajichanga changa wakanipa kumbe yalikua yameshagawana.

Nimetoka nakutana na huyo boya alienikamata(hakuwepo kipindi natolewa) ananiuliza "dogo wamechukua tsh. ngapi?" Nikamwambia 100k kumbe nimetoka kwa 20k akawapigia simu wenzake wanaanza kugombana eti ooh mnanizunguka mmemiambia imetoka 20k kumbe ni 100k..
Mi huyoo nikapita kushoto nikayaacha na laana zao...

Mama alisema ukiwa polisi ww si wa kwangu Tena Mara buku ukabebe zege.
Pole. Ila nasisitiza. Tunapigana na adui ambaye siye. Tunadhani tatizo ni polisi kumbe tatizo ni mfumo na viongozi wetu. Ndiyo maana mimi huwa nasikitika sana ninaposikia mtu mwenye tatizo na polisi akisema anaomba ''rais wetu msikivu'' asikilize kilio chake!
 
Ukifanya vitendo visivyo vya maadili chini ya mwamvuli wa taasisi ya umma bila shaka utakua imeichafua taasisi.
Naomba kufunga mjadala
Mtu mmoja dhaifu ni ngumu kurekebisha udhaifu wa taasisi. Ukitaka kurekebisha taasisi tumia taasisi au nguvu ya uma.
Ombi la kufunga mjadala limepitishwa.
 
Kwa hamza alifanya sahihii au we ni polisi. maana polisi akikufanyia huna sehemu yoyote ya kushtaki wala kumlipiza na ukilipiza kama hamza basi utakuwa muharifu hata kama haki unayo kujibu.

muda mwengine jitafakari na kunasiku watakupitia utakuja kufuta hayo unayoongea hapa
Siasa.
 
Few months ago kuna mwana JF alileta uzi humu wa baba yake(nipo tayari kuwa corrected kwa hili la ubaba),ambaye aliteswa na kudhalilishwa na polisi X pale osterbay, kama kawaida wana JF wakatoa mabango yao humu na story ile sasa ni cold case,Hamza (rip) salute salute, ulijaribu sana
 
Mapolisi hawa hawa wa tz ama wa ulaya?
Kenya mapolisi nasikia hawana hata shida, unaweza kaa mkila mirungi!
 
Few months ago kuna mwana JF alileta uzi humu wa baba yake(nipo tayari kuwa corrected kwa hili la ubaba),ambaye aliteswa na kudhalilishwa na polisi X pale osterbay, kama kawaida wana JF wakatoa mabango yao humu na story ile sasa ni cold case,Hamza (rip) salute salute, ulijaribu sana
Siku tukiachana na tabia ya kutaka kufanyiwa mambo yetu na tukaamua kuyafanya wenyewe hili tatizo la polisi kunyanyasa litapungua.

Imagine kila mtu anayenyanyaswa angedili na polisi aliyemnyanyasa nje ya taasisi kwa namna anayojua yeye.
 
Polisi wana njaa kupitiliza na wala hawana maisha ya maana

Wanashirikiana na matapeli kuumiza watu

Issue Za simu
Issue Za viwanja
Issue Za magendo

Yaani njaa kila kona

Huwezi kuendelea kwa kuendeleza dhulma, mimi hata nikute mtu anapiga dili ambayo sio ya kuua wala siwezi toa taarifa polisi na ukitaka mambo yako yaharibike shirikisha polisi utakua umekwisha
 
Katika kitu ninashangaa nikulaumu polisi wote jaman,lakini mbona Mimi ni polisi na sijawahi fanya hayo mambo hata siku moja yaani sikumbuki kama niliwahi fanya ujinga kama huo
 
Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.

Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.

Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.

Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu

Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
Pole sana
 
Wakati mwingine unakuta na wao wamepewa kazi na Mtu, labda unamfahamu au la...hivyo ni wewe kufuatilia mafaili yako uone ni wapi uliyakanyaga, kwa mfano ulichukua demu wa Mwenyewe, ulimtongoza Mtoto wa Kigogo n.k.

Wakati mwingine ukionesha "ushirikiano" hao hao wanaweza kukwambia ni nini kinaendelea.

Au mwingine unadakwa tu kwa ajili ya 'kumshikia' Mtu, yaani kuna Mkosaji yeye kafanikiwa "kumalizana" nao ila sasa hawawezi kuacha ile nafasi "blank" bila kuijaza...ndio unadakwa wewe kuijaza, na hujui hata kinachoendelea.

Dunia hii.
 
Inasikitisha mno kuwa tunaishi kwenye nchi ambayo sensitive issue kama hii inaishia kulalama humu JF, wananchi wa nchi nyingine wanafanikiwa wapi ambapo watanzania wanashindwa?,push backs zitaanza vipi na lini?,Hamza (rip)alionyesha njia baada ya kudhulumiwa ?,tuendelee kula mtori mifupa tutakutana nayo chini.
Hamza, saidi mwanamwindi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom