NITAKUKAMATA TU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 346
- 433
Hamza°²
Rest in peace Hamza.Inasikitisha mno kuwa tunaishi kwenye nchi ambayo sensitive issue kama hii inaishia kulalama humu JF, wananchi wa nchi nyingine wanafanikiwa wapi ambapo watanzania wanashindwa?,push backs zitaanza vipi na lini?,Hamza (rip)alionyesha njia baada ya kudhulumiwa ?,tuendelee kula mtori mifupa tutakutana nayo chini.
Ila usiue.Itakutesa maisha yako yote.Mi nitalipa kisasi
Nilichofanywa mm Ni zaid ya mauaji why nisiue?Ila usiue.Itakutesa maisha yako yote.
Pole sana kwa uliyotendewa.Tumia muda kutafakari.Nilichofanywa mm Ni zaid ya mauaji why nisiue?
We ndo unampoteza , kusamehe ndo big deal.Jifunze kulipa kisasi aliyekufanyia ubaya mpe anachostaili aya mambo ya kumuachia Mungu yatakutesa maisha yako yote kama huwezi kumshtaki basi pigs komboraa alale kitandani afilisike kwa ugonjwa
Sent from my Infinix X571 using JamiiForums mobile app
Kwa nilipofikia Acha niwachukie tuu hawa viumbe wanaojiita polisi, sio polisi wa kwenye muvi namaanisha hawa polisi wetu wa Tz, yaani nawachukia sana.
Wamesababisha nianze kuishi Maisha ya kimaskini, sina hatia yoyote lakini walinikamata na kuning'ang'ania.
Hawakutaka kuniachia, hawakutaka kunipa dhamana, waliendelea kunishikilia wakinituhumu kwa mambo mazito ambayo sihusiki nayo.
Wameniachia muda ukiwa umeenda sana, wameniachia ni baada ya ndg zangu kuhangaika sana, Wameniachia kwa kunipeleka mahakamani na kunibambika kesi isiyo yangu
Nina maumivu makali sana juu ya uonezi walionifanyia polisi hawa...
hayo maelezo hayana tatizo loloteNimeshindwa kutoa maelezo mengi kwasababu kesi bado ipo mahakamani
Kuna siku nilipata ajari ya barabaran ikinihusisha mimi na bodaNi watu wabaya na wenye tamaa,hawana cha undugu
Manake??Wapogoro sana usemi wao(GUTIRI WANDU MLUNGU KAPATALI).
Mkuu kwenye ujambazi Kuna wachamungu Safi lkn kwenye upolisi Kuna mashetani Safi....sijui ni kwanini mtu akivaa zile sare anakuwa mkatili kupinduki then hawana huruma hata robo ...yaani majambazi wanaroho nzuri kuliko maaskari....usije ukachukua make wake aisee watakufanya kitu mbaya....sijui ni kwanini ukifanya Ile kazi unageuka unakuwa mnyama.....