Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 19,823
- 41,970
Tuache ujinga wa kulilalamikia jeshi la polisi kwa ujumla wake, hii inasababisha polisi Juma, polisi Asha, Polisi joni asiwe na hofu ya kutenda uovu maana atabebwa na jina la polisi kama taasisi.
Jeshi la polisi lina miongozo ya utendaji na maadili hivyo ubaya haufanywi na taasisi ya jeshi la polisi, ubaya unafanywa na mtu aliyepewa dhamana ya kuwa polisi.
Ww kariri mtu wako aliyekufanyia ubaya. Dili naye maana haishi sayari tofauti. Ikiwezekana mada ziwe polisi mawazo ali mwenye namba xxxx ni mla ruhwa, mbambikia kesi n.k n.k huku ukisifia wale unaoona wana msaada.
Hawawezi kukujua kama ni tabia yao na pia kitendo cha kuwatenga na umoja wao wa jina "POLISI" kitawagawanya na kuwafanya wajihoji kabla ya kufanya ubaya. Ukumbuke, hata wao kwa wao huko ndani sio kwamba wanapendana sana, kama wakigawanywa na wao watatafunana tu.
Jeshi la polisi lina miongozo ya utendaji na maadili hivyo ubaya haufanywi na taasisi ya jeshi la polisi, ubaya unafanywa na mtu aliyepewa dhamana ya kuwa polisi.
Ww kariri mtu wako aliyekufanyia ubaya. Dili naye maana haishi sayari tofauti. Ikiwezekana mada ziwe polisi mawazo ali mwenye namba xxxx ni mla ruhwa, mbambikia kesi n.k n.k huku ukisifia wale unaoona wana msaada.
Hawawezi kukujua kama ni tabia yao na pia kitendo cha kuwatenga na umoja wao wa jina "POLISI" kitawagawanya na kuwafanya wajihoji kabla ya kufanya ubaya. Ukumbuke, hata wao kwa wao huko ndani sio kwamba wanapendana sana, kama wakigawanywa na wao watatafunana tu.
