Navutiwa sana na wanaume wanaovuta bangi au sigara

Naomba msinishangae jamani mwenzenu huu ndiyo udhaifu wangu

Kiukweli huwa nikimuona mwanaume anavuta sigara au bangi nachizika kabisa,nimewahi kuwa na mpenzi wangu alikuwaga anavuta bangi,weeeeee!

Alikuwa akivuta bangi halafu akiniwekea dyudyu,weeee mdomo koma!๐Ÿ˜‚
Huu mtego huu nimeshtuka alafu PM ipo wazi hata km navuta PM siji na huo mtako km Amehlo siji PM nimekwepa mtego
 
Kuna mtu anatafutwa

IMG_20231214_160959.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom